kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Yule Mkurugenzi wa Dodoma ayejaribu kuonyesha anajua kuliko Rais afutwe kazi. Katika utumishi wa umma, hiyo ni insubordination

    Huyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu. Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako. Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako...
  2. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Meli yapewa jina la hapa kazi tu Waziri afafanua

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack kamwelwe ametembelea meli mpya inayojengwa jijini mwanza yenye uwezo wa kubeba tani 400 na abiria 1200 na kuipa jina la "MV MWANZA HAPA KAZI TU"
  3. Mzito Kabwela

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuliooa tuepuke sana kazi za kusafiri safiri muda mrefu

    Kazi za kuajiriwa au binafsi zinazohusisha kusafiri mbali na makazi ni nzuri maana zina posho na incentives nyingine kulingana na nature ya kazi au ofisi. Lakini katika vitu vinavyochangia ongezeko la uvunjifu wa ndoa au maambukizi ya UKIMWI ni pamoja na shughuli zinazohusisha kusafiri nje ya...
  4. AHMARDZ

    JamiiForums Tanzania Nashida ya Kuzamia

    Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu...
  5. Influenza

    JamiiForums Tanzania Rukwa: Hakimu aviburuza Mahakamani Vyombo vya Mahakama vilivyomfuta kazi

    Aliyekuwa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Jonathan Ernest Mgongoro ameziburuza mahakamani, Tume ya Utumishi wa Mahakama (JSC) na Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama (JOEC), kwa kumfuta kazi. Mgongoro, alifutwa kazi na Tume ya Utumishi wa Mahakama, Julai 17...
  6. House of Commons

    JamiiForums Tanzania Mwacheni Rais Magufuli afanye kazi tuliyompa, ila kwa hili hapana

    Mi mwanachi wa kawaida kabisa, sina cheo popote pale wala sina mlengo wa siasa za chama chochote hapa nchini. Pia nifanye personal declaration, I like Rais Magufuli, I admire his strictness for national issues and performancefor achievements. Nilimfahamu Rais Magufuli nikiwa form 2 in 1990...
  7. Mekatilili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Under Construction: Affordable Housing | Park Road | 2,000 Units - Tunachapa Kazi!

    Low-income houses set to be built on Nairobi’s Park Road SUNDAY, SEPTEMBER 16, 2018 22:00 Kenya and international mass housing developers have been invited to design, fund and build residential houses at Nairobi’s Park Road estate for sale to low-income earners. The estate is situated in the...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Tukubali au tukatae Chadema ya Mbowe ni kiwanda cha kutengeneza wanasiasa makini kazi ambayo UVCCM wamefeli

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, hata kama Freeman Mbowe atastaafu uenyekiti wa Chadema mwezi Desemba mchango wake kwa taifa hili hautasahaulika kwa tunaojua siasa. Mchango wa Mbowe umejikita katika kuwapika na kuwaandaa vijana kuwa viongozi imara na wa kutegemewa na taifa. Kwa mfano...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi NIT, Tutor/ Instructor II in Manufacturing Engineering

    Employer: National Institute of Transport (NIT) Date Published: 18 November, 2019 DUTIES AND RESPONSIBILITIES: Teaches up to NTA level 6 (Ordinary Diploma) and may assist teaching in higher NTA Levels, Conduct tutorials for NTA 7, Assist to carryout Research and consultancy and works, Assists...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi NIT, Laboratory Technician II Inaviation Electronics

    Employer: National Institute of Transport (NIT) Date Published: 18 November, 2019 DUTIES AND RESPONSIBILITIES: Conduct Aircraft Technicians training; Plan, prepare, and evaluate lesson plans; Develop and reviews curricula; Conduct examinations and submits results; Conducts consultancy and...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania RIPOTI: Watu wanaojihusisha na kazi za usafi vyooni wako hatarini zaidi kupoteza maisha kutokana na mazingira hatarishi

    SHIRIKA lisilo la kiserikali la Water Aid Tanzania limesema watu wanaojihusisha na kazi za usafi vyooni wako hatarini zaidi kupoteza maisha kutokana na mazingira hatarishi. Ripoti hiyo iliyotolewa jana na shirika hilo likishirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Kazi Duniani...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Utata muda wa kazi: Bosi amenitaka nifanye kazi 12hrs kila siku kwa siku nne mfululizo ndio nipumzike siku tatu

    Wakuu kama mada inavyojieleza swala hilo lina uhalali gani kisheria na afya ya mfanya kazi inalindwaje kwa mazingra hayo. Tumekwama.
  13. Jimz Group

    JamiiForums Tanzania Finance Assistant at Jimz Technologies Co. Ltd

    Job Title: Finance Assistant Company overview: Jimz Technologies Co. Ltd is a Technology Company, delivering technology-driven solutions and hardware that meet the strategic objectives of our clients. We deliver unmatched business value to our customers through a combination of processes that...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

    Ni katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere. Karibu! Kardinali Pengo na Sheikh wa mkoa kwa niaba ya Mufti wanauombea mkutano huo. Sasa viongozi wa dini wanaangalia mkanda wa video unaomuonyesha RC Makonda akitolea ufafanuzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo. ====== Mkuu wa Mkoa wa Dar...
  15. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Guardian wamlilia na kumkumbuka Kamishina wa Kazi wa zamani Gabriel Malata

    Huku bado wakiwa na majonzi ya kufiwa na mwajiri wao, Reginald Mengi aliyefariki dunia Dubai mwezi May mwaka huu, wafanyakazi wa The Guardian Limited wamesema uamuzi wa Rais John Magufuli kumteua Gabriel Malata kuwa Naibu Wakili Mkuu wa serikali mwa Septemba umewaathiri vibaya sana. Malata...
  16. CORAL

    JamiiForums Tanzania Naomba Mamlaka ya Maji Safi na Taka Mbeya ifutwe, wanalipwa mishahara bila kazi

    Mamlaka ya maji Mbeya wafanyakazi wake hawastahili kulipwa mishahara kwa sababu hakuna wanachokifanya na hawapo pale kutoa huduma ya maji kwa wananchi. Wapo kama TRA tu yaani kukusanya pesa basi. Ni miezi 4 sasa eneo la Uyole 90% ya bomba hazitoi maji. Wakilalamikiwa hawatoi msaada wowote...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu hili la kufukuzwa kazi na utumishi

    Asalam aleykum, nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa Rais. nako rufaa ilikataliwa. Nimeenda mahakama kuu division ya kazi. Je nikishinda kesi hii...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi CRDB bank

    OVERVIEW CRDB Bank Plc is an African bank and a leading Financial Services Provider in Tanzania with current presence in Tanzania and Burundi, East Africa. The Bank was established in 1996 and was listed on the Dar Es Salaam Stock exchange (DSE) in June 2009. Over the years, CRDB Bank has grown...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi HLB Mekonsult

    HLB MEKONSULT is a prominent audit, tax and advisory firm, wholeheartedly dedicating itself to assisting its select clients to develop economical and practical business solutions to some of the most critical business challenges. HLB MEKONSULT provides accounting and advisory services including...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, Claims Analyst, Britam Insurance Tanzania

    Company: Britam Insurance Tanzania Location: Tanzania State: Dar Es Salaam Jobs Job type: Full-Time Job category: Administrative/Secretarial Jobs in Tanzania Job Purpose and Key responsibilities The role holder will be responsible for processing and payment of general insurance claims. The...
Back
Top Bottom