Gen-Z huko Kenya kibaruani. Hatari sana

Gen-Z huko Kenya kibaruani. Hatari sana

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,489
Reaction score
1,465
1751996274752.png


Nyerere alisema Maskini hana cha kupoteza, na Binadamu akichanganikiwa ni hatari kuliko kitu chochote Duniani, moja ya visababishi ni utawala wa mabavu na umaskini wa kupitiliza. Gen - Z ni kizazi hatarii, haya unayoyaona ni madogo kuliko yajayo.
 

Attachments

  • Karibu Kenya💔 #77NiNumbers #OccupyUntilVictory #SabaSaba2025 Tuesday is Tuesday.mp4
    2.7 MB
Human rights/Freedom are not things that are put on the table for people to enjoy. These are things you fight for and then you protect. Waangari Maathai voice inarindima akilini mwa genZ.
 
Back
Top Bottom