kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ICC Yarudi Tena Kwenye Siasa za Kenya? Upinzani Wataka Ruto Achunguzwe Kuhusu Ghasia za Kisiasa

    Miaka 15 baada ya kesi za ICC kutawala siasa za Kenya, jina la Rais William Ruto limetajwa tena katika wito unaoelekezwa The Hague - wakati huu Kenya ikielekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Muungano wa upinzani umetaka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuchunguza...
  2. O

    JamiiForums Tanzania FALSE Image of Kenya Defence Forces Recruits Displaying ‘TUTAM’ Formation for President Ruto

    An image circulating on social media appears to show Kenya Defence Forces (KDF) recruits lying on the ground and forming the word “TUTAM”, a slogan associated with President William Ruto and his supporters. The image has been shared as though it captures a real formation by KDF recruits...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mosiria Ataka Communication Authority Ichunguze Content Creators kwa Maudhui ya Utupu Mitandaoni

    Serikali ya Kaunti ya Nairobi imeitaka Communications Authority of Kenya (CA) kuchunguza malalamiko kuhusu baadhi ya content creators wanaodaiwa kutengeneza na kusambaza maudhui ya watu wazima pamoja na kufanya livestreams zinazotajwa kuwa na madhara, hasa kwa watoto na vijana. Katika barua ya...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wa Uganda Waja Kenya Kutafuta Majibu ya Changamoto za Elimu

    Wakati mataifa mengi ya Afrika Mashariki yakihangaika kuboresha mifumo yao ya elimu, wabunge kutoka Uganda wamegeukia Kenya kutafuta mafunzo kuhusu mageuzi yanayoweza kuboresha sekta hiyo nchini mwao. Ujumbe wa Kamati ya Elimu na Michezo ya Bunge la Uganda ulifanya ziara katika Bunge la Kenya...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Miongoni mwa Waliofariki Katika Ajali ya Helikopta Samburu

    Maelezo zaidi yameibuka kuhusu watu saba waliofariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe, Samburu, huku ikibainika kuwa Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe Stephany Vásconez walikuwa miongoni mwa wahanga. Sensi-Contugi, mwenye umri wa miaka 44, alikuwa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tabasamu la Kasongo kule Kenya sie kila uchao ni afadhali ya jana

  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Apiga Simu Karen Hospital Kuhusu SHA: Je, Mfumo Mpya Unafanya Kazi?

    Rais William Ruto amempigia simu Mkurugenzi Mtendaji wa Karen Hospital, Juliet Gikonyo, kutaka kujua iwapo hospitali hiyo inapokea malipo kutoka kwa Social Health Authority (SHA). Katika mazungumzo hayo, Gikonyo alithibitisha kuwa hospitali hiyo inapokea fedha kutoka SHA na kueleza kuwa, kwa...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Raia wa Kenya akamatwa Zambia akihusishwa na ujasusi kuvuruga Uchaguzi

    Mwanamume mwenye umri wa miaka 56 kutoka Kenya amekamatwa nchini Zambia baada ya mamlaka kumhusisha na operesheni inayodaiwa kuhusisha uhalifu wa mtandaoni dhidi ya mifumo ya Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo. Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa ya Zambia ilitangaza Agosti...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Aongoza Sherehe Ya 46 Ya Kupitisha Kikosi Cha KDF Eldoret

    Rais William Ruto amewaongoza viongozi wa serikali, makamanda wa usalama, familia na wananchi katika sherehe ya 46 ya KDF Pass-Out Parade iliyofanyika katika Defence Forces Recruit Training School, Kamagut, Uasin Gishu. Sherehe hiyo imeashiria kukamilika kwa mafunzo ya kijeshi kwa muda wa miezi...
  10. O

    JamiiForums Kenya Kenya Yaibuka Nafasi ya Pili Dunia Katika Mashindano ya U20 Oregon

    Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa wanariadha walio chini ya miaka 20 yaliyofanyika Eugene, Oregon, Marekani, ikimaliza nafasi ya pili kwenye jedwali la medali. Timu Kenya ilijikusanyia medali 11—dhahabu 4, fedha 3 na shaba 4—ikifuatiwa na wenyeji Marekani waliotwaa medali 24. Kenya pia ilikuwa...
  11. O

    JamiiForums Kenya Cardinal Otunga Mosocho yaingia Uwanjani Tanzania kupeperusha Bendera ya Kenya

    Michezo ya 23 ya Federation of East African Secondary Schools Sports Association (FEASSA) iliaanza Jumatano, Agosti 12, 2026, mjini Morogoro, Tanzania, huku Cardinal Otunga Mosocho High School ikiwania kuiwakilisha Kenya katika Rugby 7s. Mashindano hayo yanaendelea hadi Agosti 23, 2026...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mgogoro wa Naibu Spika Gladys Shollei na Mwandishi wa Citizen TV Kuhusu Takwimu za Uzalishaji wa Mahindi Kenya

    Mazungumzo ya moto yanayohusisha Naibu Spika wa Bunge la Kitaifa Gladys Boss Shollei na mwandishi wa Citizen TV Sam Gituku yamezua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kugongana moja kwa moja hewani kuhusu takwimu za uzalishaji wa mahindi nchini Kenya. Kesi hiyo ilianza pale Gituku alipobana...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muswada Mpya Waweka Masharti Makali kwa Wanaotaka Kufungua Shule Kenya

    Muswada wa Sheria ya Elimu ya Msingi, 2026 unapendekeza masharti mapya na makali kwa watu au taasisi zinazotaka kuanzisha na kuendesha shule za msingi na sekondari nchini Kenya. Kwa mujibu wa muswada huo, mwombaji atalazimika kuwasilisha ombi kwa County Education Board, ambayo itatathmini iwapo...
  14. O

    JamiiForums Kenya Mswada Mpya Waweka Masharti Makali kwa Wanaotaka Kufungua Shule Kenya

    Muswada wa Sheria ya Elimu ya Msingi, 2026 unapendekeza masharti mapya na makali kwa watu au taasisi zinazotaka kuanzisha na kuendesha shule za msingi na sekondari nchini Kenya. Kwa mujibu wa mswada huo, mwombaji atalazimika kuwasilisha ombi kwa County Education Board, ambayo itatathmini iwapo...
  15. Frank Wanjiru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume aliemwagia mchepuko wake Tindikali afariki Dunia

    Elvis Opiyo, Mwanaume aliyekuwa akikabiliwa na tuhuma za kuhusika katika kupanga shambulio la tindikali dhidi ya Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Mary Clare Ochieng, ameripotiwa kufariki dunia katika eneo la Umoja, Nairobi. Opiyo alikuwa nje kwa dhamana wakati akiendelea kukabiliwa na tuhuma kwamba...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali Yaweka Kaunti 18 Hatarini Huku Kenya Ikijiandaa Kukabili El Niño Kali

    Serikali imeweka kaunti 18 katika hali ya tahadhari ya juu kutokana na uwezekano wa kukumbwa na madhara makubwa ya El Niño, huku mvua ya zaidi ya kiwango cha kawaida ikitarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026. Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, alisema Jumatatu, Agosti 10, 2026, kuwa...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Atangaza Muungano Wa Kenya Kwanza Na Odm Kuelekea Uchaguzi Wa 2027

    Rais William Ruto ametangaza kuwa Kenya Kwanza na ODM zimekubaliana kuunda muungano wa kisiasa utakaochuana pamoja katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ruto alitoa tangazo hilo Jumatatu, Agosti 10, 2026, baada ya mkutano wa viongozi wa Broad-Based Government mjini Naivasha. Alisema uamuzi huo...
  18. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya Tume ya kuchunguza ghasia za uchaguzi Kenya (Jaji Phipps Waki Commission) VS Tume ya Rais Samia(TZ) chini Jaji Chande/Lila

    ♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo... Hebu tujadili kuhusu; Commission of Inquiry into the Post-Election Violence (CIPEV), chini ya Jaji Philip Waki (Kenya) VS...
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kalonzo: Xi Jinping aliniambia atatembelea Kenya nikichaguliwa Rais

    Kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka, amesema Rais wa China, Xi Jinping, alimweleza kuwa angeitembelea Kenya iwapo Kalonzo angechaguliwa kuwa Rais wa Kenya. Kalonzo alitoa kauli hiyo Jumatatu, Agosti 10, 2026, wakati wa mahojiano ya runinga ambapo alikuwa akieleza mikakati yake ya kukabiliana na...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Kutoka kituo hadi lango: Namna SGR nchini Kenya inavyobadilisha Voi

    Ali Khan, 17, aliweka sawa mkoba wake wa nyuma na kupanda treni ya mchana ya SGR katika Kituo cha Voi. Siku tatu kabla ya hapo, kijana huyo wa Kihindi na wenzake 74 waliokuwa wamepiga kambi waliwasili kwa treni ya asubuhi wakitokea Mombasa. Baada ya kuangalia msitu wa Tsavo, walikuwa wakiendelea...
Back
Top Bottom