Mhe. Rais,
Kwanza nikupongeze sana kwa kazi nzuri sana unayoifanya. Wanaobeza utendaji wako hawajui ulichukua nchi ikiwa katika hali gani.....lakini umesimama imara.
Mhe. Rais, mimi nina ushauri mmoja kwako unaohusu vijana wa JKT OP MIRERANI waliomaliza mikataba yao. Mhe. Rais, ni kweli...