Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia...