Rwanda, pamoja na nchi nyingine za Afrika mashariki, hasa Kenya na Uganda, zimeiomba Tanzania kuhakikisha inafuata utaratibu uliowekwa na nchi wanachama, kurahisisha shughuri za kiuchumi kati ya nchi wanachama.
Imefuatia agizo la waziri wa viwanda wa Tanzania, Mhe Jafo, kutoa orodha ya shughuli ambazo hazitakiwi kufanywa na raia wageni.
Imefuatia agizo la waziri wa viwanda wa Tanzania, Mhe Jafo, kutoa orodha ya shughuli ambazo hazitakiwi kufanywa na raia wageni.