VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,487
- 1,465
Msemaji mkuu wa Serikali ya DRC, Patrick Muyaya, akisema kwamba, DRC ni nchi kubwa ya ukanda.
Hii inatosha kuonyesha kwamba, Rwanda, Burundi na nchi nyingine jirani, haziwezi kuishi bila Congo, wakati Congo inaweza kuishi bila nchi hizi.
Ni kweli?
Hii inatosha kuonyesha kwamba, Rwanda, Burundi na nchi nyingine jirani, haziwezi kuishi bila Congo, wakati Congo inaweza kuishi bila nchi hizi.
Ni kweli?