VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,488
- 1,465
Haya ni makazi ya familia moja, ya watu wa nne. Kwa sasa, ni miaka mitau(3), tangu wameanza kuishi maisha haya.
Cha ajabu, kila kiongozi anaeulizwa kwa nini, anadai hakuwa na taarifa.
Nchini Rwanda, kila siku, nchi nzima inatoa ripotu ya mambo ambayo hayako sawa, na yanayofanana na hili yakiwemo.
Lakini, viongozi watasema kila kitu kiko sawa, kuonyesha wanafanya kazi nzuri, ila raia wanapitia magumu.