tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Tanzania - Robust Financial Sector Hooks World Attention

    Credit : Daily News - Dar es Salaam TANZANIA's financial sector has continued to shine locally and internationally, thanks to an enabling environment put in place by the fifth phase government. This enabling environment put in place through policies, legal and regulatory frameworks have ensured...
  2. Teargass

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa Port handles twice the amount of cargo that all Tanzania Ports handle when combined

    According to the reports both from Kenya Bureau of standards and Tanzania National Bureau of statistics, it has emerged than Mombasa port alone handle twice the amount of cargo that all Tanzanian Ports handled when combined together. The performance of Mombasa port last year was recorded at...
  3. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Tanzania has what it takes to be ‘African economic giant'

    East Africa’s sleeping giant is finally awakening. Right in the middle of the global Corona virus pandemic, Tanzania has provided a rare piece of good news — on 1 July 2020, the country achieved its middle-income vision five years ahead of schedule. As a coastal economy bordering eight...
  4. VUTA-NKUVUTE

    JamiiForums Tanzania Poleni Wapinzani Tanzania, tambueni na myatafakari yafuatayo

    Kwa kutazama filamu ya kiuchaguzi inayoendelea hivi sasa, ninaishiwa maneno ya kuzungumza. Lakini, kwakuwa JF ni a house of great thinkers, chukueni yafuatayo ili mchanganye na zenu kuelekea Oktoba 2020: 1. Kila katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, CCM lazima 'imuondoe' kada wake mmoja...
  5. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 CUF: Wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kujulikana Julai 27, katika Mkutano Mkuu wa Chama

    SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27 "Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo katika mahojiano na Waandishi wa habari kuwa Tarehe 27 mwezi huu ndiyo siku ya Mkutano Mkuu wa...
  6. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA isihangaike na Urais imeweka wagombea asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania, hawawezi shinda au kuunda Serikali

    CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali. CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika, yaitaka Tanzania kubadili Katiba kuruhusu Wananchi kupinga matokeo ya Kura za Urais

    Mahakama ya Afrika yaitaka Tanzania kubadili Katiba kuruhusu Wananchi kupinga matokeo ya Kura za Urais Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imetoa uamuzi kuwa Ibara ya 41(7) ya Katiba ya Tanzania inayokataza matokeo ya urais kupingwa Mahakamani inakiuka Ibara ya 1,2, 7(1)(a) ya Mkataba wa...
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Uchaguzi wa viongozi wa chama cha Wafugaji Tanzania

    Tunafahamu kwamba hivi karibuni ndani ya mkoa wa Dodoma kutafanyika uchaguzi wa viongozi wa Chama cha wafugaji Tanzania. Mkutano huo umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 19/07/2020 ambapo viongozi wa ngazi ya kitaifa wa chama hicho watachaguliwa kuongoza chama kwa miaka mitatu 03. Nafasi...
  9. Ole

    JamiiForums Tanzania Gold trade body urged to suspend refinery over alleged abuses in Tanzania

    The North Mara mine in Tanzania. It has been alleged that police guarding the mine have beaten, shot and sometimes killed locals. Photograph: Forbidden Stories ''A corporate watchdog is calling for the London Bullion Market Association (LBMA) to suspend the membership of one of the world’s...
  10. T

    JamiiForums Tanzania An analytical narrative of nation formation in modern Tanzania

    An Analytical Narrative of Nation Formation in Modern Tanzania Tanzania’s political stability is legendary within Africa. It has never suffered any civil wars, coup d’états or violent national elections, and has had regular presidential and parliamentary elections every five years since...
  11. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania 'Wanyonge' ni akina nani na wapo wangapi nchini Tanzania?

    Kwa muda sasa tumesikia kuwa Tanzania kuna 'wanyonge' na Rais amekuwa akiwapigania kwa kujiita ni 'Rais wa wanyonge.' Hivi 'wanyonge' wana sifa zipi? Na idadi yao ni kiasi gani? Kitu gani hasa kinawaweka kwenye 'unyonge' kama kweli wapo? Hivi kama kweli hawa 'wanyonge' wapo, wanakombolewa na...
  12. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

    Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe Dkt. John Pombe Magufuli. Kwako Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Natumai unaendelea vizuri na shughuri zako za kila siku. Mimi ni kijana wako mtanzania halisi mpenda maendeleo na mchapa kazi wa kweli. Nakupongeza kwa...
  13. dosama

    JamiiForums Tanzania Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya US Dollar, Euro na Paundi

    Kwa rate ya leo ya kuuza na kununua fedha hizo za kigeni ni kama ifuatavyo 1. USD inauzwa kwa shilingi 2317 na kununuliwa kwa shilingi 2354 2. Euro inauzwa kwa shilingi 2580 na kununuliwa kwa shilingi 2700 3. Paundi unauzwa kwa shilingi 2854 na kununuliwa kwa shilingi 2974
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mgonjwa kwao, lawama Tanzania - Mabeberu hawa!

    Mabeberu kazi wanayo. Kila tukipiga chenga wao wanafuata nyayo. Inafikirisha kuwa hata huko Isingiro Uganda mgonjwa wao kwanza aliyepatikana jana, eti naye kapita 'kinyoka nyoka' mpakani akitokea Tanzania kinyume cha utaratibu: ---- The East African region Monday recorded a spike in...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi Sheria kama hii haiwezi kufikiriwa kutungwa Nchini Tanzania kwani tumechoka kupatwa na 'Vinyaa' kila wakati?

    Napendekeza Kutungwe Sheria Kali sana nchini Tanzania ya ama Kuwalipisha Faini au kuwapa Adhabu ya Kusafisha Vyoo vya Jiji au Barabara Wanawake wote wanaogundulika Kutupa hovyo Taulo zao za Kike (Pedi/Sodo) Mitaani. Vile vile hata ikitokea Taulo hizo zimekutwa Nyumbani kwa Mtu au Mtaani basi...
  16. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Serikali ya Tanzania ichimbe mafuta yake kabla teknolojia ya kutumia maji, solar na gesi kweye magari hazijafika

    Nina hofu kuwa mafuta yatashuka thamani siku si nyingi hivyo tungechangamka kuchimba mafuta yanayosemekana yamegunduliwa katika bahari ya Hindi. Mfano baadhi ya nchi jirani wameanza kutumia gesi katika magari yao hivyo ni hatari kwa solo la mafuta. Uganda wanaanza kuchimba siku si nyingi japo...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

    Akutana na kuteta na Christian Kattner ambaye ni Katibu Mkuu wa IDU
  18. Naantombe Mushi

    JamiiForums Tanzania Kikwete alikuwa genius wa uchumi, Magufuli itabidi akajifunze kwake kama kweli ana nia ya kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye reli

    Huu ni muendelezo wa nyuzi zangu za kiuchumi ambazo ni matokeo ya kutafiti taarifa mbalimbali za serikali kwenye masuala ya fedha na uchumi. Msukumo wa kuamua kufanya hizi tafiti, unatokana haswa na kuchukizwa na yale majigambo ya wanasiasa na watu wasioelewa mambo, ya eti uchumi kwenye awamu...
  19. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Airtel Tanzania slashes data prices by 85%

    ''Airtel Tanzania has announced an 85 percent drop in its mobile data price from TZS 40 per megabyte. MD George Mathen, said customers' daily data patterns have increased recently and it is introducing the new data rate in response to this demand.'' ..... ..... .... ..... Mambo ya kulialia oh...
  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Unaionaje Tanzania baada ya Uchaguzi wa mwaka 2020?

    Hivi baada ya Uchaguzi wa mwaka huu unadhani Tanzania nchi tunayoishi na kuitakia mema itakuwaje? 1. Uhuru wa kuabudu utakuwaje? 2. Uhuru wa Mahakama utakuwaje 3. Uhuru wa kutoa mawazo utakuwaje 4. Uhuru wa vyama vingine vya siasa zaidi ya CCM kufanya siasa utakuwaje 5. Uhuru wa kupata...
Back
Top Bottom