tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Nchi hizi raia wake wanaruhusiwa kuingia Tanzania bila Visa, Majirani wote wa EAC wapo. Je, na sisi tunaweza ingia nchi zao bila Visa?

    Tanzania’s🇹🇿 Immigration Services Department has released a list of African countries whose citizens can enter the country without applying for a visa. The move is expected to boost tourism, trade, regional cooperation, and easier movement across Africa. The African countries benefiting from...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ucheleweshaji wa malipo kwa Mawakala wa mauzo (Direct Sales Agents) wa Yas Tanzania

    Ndugu wanajamii, Leo tunazungumzia suala linalowahusu moja kwa moja mawakala wa mauzo (Direct Sales Agents) wanaofanya kazi na kampuni ya Yas Tanzania. Hoja hii ni muhimu kwa sababu inahusu haki ya kila mfanyakazi, kulipwa kwa wakati kwa kazi na juhudi alizozitoa. 1. Hali ya Tatizo Kwa mujibu...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Single mothers ni wahanga, sio wa kulaumiwa.! Single mothers ni wahanga wa kuachwa na wanaume wasiotaka kubeba majukumu yao, wapenda starehe bila gharama, wanaume Hawa ni mzigo kwa taifa Katika nchi zinazotambua hili, single mothers wamekuwa walipewa hela ya kujikimu kila mwezi, zaidi ya...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Trader Namaro Energy corners fuel imports

    The government's reorganisation of petroleum supplies has seen this company emerge as one of the most influential players in the sector. Owned by the powerful Nahdi family, which has close ties to the government, the group has won the majority of recent tenders. MY TAKE Namaro Energy...
  5. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: COSOTA na Baraza la Sanaa Tanzania, Wajibu wao kwa Wasanii na Kinga yao kwa Wasanii.

    Wajibu mkuu wa Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kwa wasanii ni kusimamia, kulinda, na kutetea haki miliki zao za kazi za ubunifu. Majukumu haya yanajumuisha ukusanyaji na ugawaji wa mirabaha, utoaji wa elimu ya hakimiliki, na kupambana na uharamia au kwa ufafanuzi zaidi niseme: Wajibu...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Nyama choma ipi Nzuri Tanzania ,Kwa mromboo Arusha Vs Msalato Dodoma?

    Nafahamu kuwa watanzania wanapenda sana Nyama Choma. Na kiukweli kabisa katika nchi hii sehemu mbili tu katika mikoa miwili ya Arusha na Dodoma ni maarufu zaidi kwa uchomaji wa Nyama na ndio yanayotembelewa na maelfu ya watu kutoka maeneo mbalimbali Tanzani afrika na Duniani. Maeneo hayo...
  7. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Note: Wajibu wa Jeshi la Uhamiaji na Jeshi la Zima moto na Uokoaji kwa raia wa Tanzania.

    Wajibu wa idara ya Huduma za Uhamiaji Tanzania kwa wananchi ni pamoja na kutoa hati za kusafiria (pasi za kusafiri), kudhibiti uingiaji na ukaazi wa wageni, na kuchakata maombi ya uraia. Chombo hiki kinafanya kazi chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kulinda usalama wa nchi kwa maana...
  8. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Je, Demokrasia Tanzania ipo kwa vitendo au ipo kwenye maandishi tu?

    Mara nyingi tunasikia baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania zikijinasibu kuwa zinafuata mfumo wa demokrasia Lakini swali langu ni hili: Je, demokrasia inaonekana kwa vitendo, au ipo kwenye maandishi tu? Kwa uelewa wangu, demokrasia ya kweli ni pamoja na: Wananchi kuwa huru kutoa maoni yao bila...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Kuna kitu kama umenotice Tanzania, mabati kwenye nyumba nyingi yanakuwa raised too high. Kuna watu wanaoverdo wanafanya mabati yawe marefu sana, ila kuna wengine ambayo hawaja overdo, bati linakuwa tu na mwonekano mzuri lakini still unaweza kunotice kuwa ni refu ukifananisha na nyumba...
  10. WIDERANGE AFRICAN SAFARIS

    JamiiForums Tanzania 3 days Tanzania budget sharing safari package

    Looking for an affordable way to experience an authentic African safari? Our 3 Days Tanzania Budget Sharing Safari Package is perfect for solo travelers, couples, friends, and adventure seekers who want to discover Tanzania's spectacular national parks while sharing the experience with other...
  11. WIDERANGE AFRICAN SAFARIS

    JamiiForums Tanzania 2 days Tanzania sharing group joining safari package by Widerange African Safaris

    The 2-day Tanzania sharing group joining safari by Widerange African Safaris is a budget-friendly way to explore the Northern Circuit. Priced at roughly $400 to $850 per person, the package usually departs from Moshi or Arusha and includes shared 4x4 transport, park fees, daily meals, and lodge...
  12. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Tanzania kupoteza Scholarships, za UK, Canada na Australia, endapo itatimuliwa Common wealth

    MO29 ilikuwa game changer kwenye siasa za nchi hii. Sioni Tanzania ikitulia tena na kuwa na uchaguzi wa amani kama hakutokuwa na reforms za uchaguzi. Baada ya kilichotokea kwenye MO29, Common wealth wametoa masharti ambayo yana time frame, moja kubwa ni Lissu kuachiwa within 30 days. Kwa kiburi...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Hela ya Tanzania haina thamani tena, naanza kuiona Zimbabwe Bongo

    Hizi ni ishara tosha kwamba hela ya Tanzania imepoteza thamani yake rasmi.Bwana siku hizi, mtaani na kwenye mitandao ya kijamii kumezuka tabia ya Watanzania kutrendisha mambo yasiyo na manufaa yoyote kama kawaida ya wabongo. Watu wanachezea minoti ya shilingi kumi kumi kama wamevurugwa hivi...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Misri Zakubaliana Kupanua Ushirikiano wa Kimkakati

    Tanzania, Misri Zakubaliana Kupanua Ushirikiano wa Kimkakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mhe. Abdel Fattah El-Sisi, wamekubaliana kupanua ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na uwekezaji katika sekta...
  15. idiomer

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana kuona watu wanaweka matumbo mbele na kuiacha Tanzania nyuma

    Yaani unatumia fedha za walipakodi kumfurahisha mtu ambaye kesho atatoka madarakani. Hebu fikiria kuisaidia shule ambayo vizazi na vizazi vinasema, hospital ambayo wananchi watatibiwa. Kumtumikia kiongozi wa juu ni utumwa tumikiwa wananchi.
  16. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Raia wa Tanzania na Misri pekee wanaruhusiwa kuingia Sudan Kusini bila visa

    Serikali ya Sudan Kusini imetoa sera mpya iliyosasishwa kuhusu visa, ikibainisha nchi za Afrika ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini humo bila kuhitaji visa au kulipa ada yoyote ya visa. Mwongozo huo mpya unaeleza masharti ya kuingia nchini kwa wasafiri kutoka Afrika na maeneo mengine...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa mufti mkuu wa Tanzania: wito wa uwazi kuhusu sakata la kuondoshwa Sheikh Walid

    KBARUA YA WAZI KWA MUFTI MKUU WA TANZANIA: WITO WA UWAZI KUHUSU SAKATA LA KUONDOSHWA SHEIKH WALID Kwa: Mufti Mkuu wa Tanzania Yah: Ombi la kuweka wazi sababu za kuondoshwa Sheikh Walid ili haki na ukweli ujulikane Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Kwa heshima na taadhima...
  18. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Malizia hii sentensi: Tanzania ukitaka kuishi kwa furaha usikose…..?

    Achana na pesa, taja kitu kingine halafu muite Mtanzania mwenzako unayemfahamu humu jukwaani naye atuambie yeye ni nini inabidi asikose. Ila tuna nchi nzuri jamani, niko maporini natazama mazingira ya mama Tanzania, mimi furaha yangu nisikose kifurushi cha internet na kagari ka kupigia...
  19. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Degree ngumu kusoma hapa Tanzania

    Na hizi ndo bachelor degrees zinazohitaji uwezo mkubwa wa kufikiri na akili nyingi zaidi duniani 1. Bachelor of Medicine and Bachelor of Surgery (MBBS) – Udaktari Masomo mengi, muda mrefu wa kusoma, na mafunzo ya hospitali. 2. Bachelor of Aerospace Engineering – Uhandisi wa Anga Inahitaji...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri

    Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Ziara ya Kitaifa 18 Julai, 2026.
Back
Top Bottom