mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kushusha hatari ya kupata ujauzito wenye matatizo au Mtoto Njiti?

    Unastahili matunzo, mapenzi na uangalizi sawa na ya mtoto wako tarajiwa. Huduma hizi zitakusaidia kudhibiti matatizo ya afya unayoweza kuwa nayo na kukukinga dhidi ya kisukari cha ujauzito pamoja na shinikizo la damu la juu. Kadri utakavyokuwa na afya njema ndivyo atakavyokuwa na mwanao. Usije...
  2. cheusimangala

    JamiiForums Tanzania Sheria na taratibu za kuasili (Adopt) mtoto Tanzania

    Imekuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu ku-adopt mtoto yatima awe wangu kabisa nimlee, kumsomesha na kumfanyia yote anayostahili kufanyiwa mtoto! Sasa naona nina uwezo na muda wa kuitimiza ndoto yangu! hivyo naomba kujulishwa sheria na taratibu za kuasili/adopt mtoto hapa Tanzania! Je, niende wapi...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mkiwa mmekaa zenu Maskani halafu Mama akampa Mtoto Hela akanunue Kitu Dukani kisha akiwaona anampa Maelekezo haya Mtoto huwa anamaanisha nini?

    Unakuta mmekaa zenu Maskani ( Kijiweni ) tena hasa Kipindi hiki Joto lililopo Jiji na Kune Boy ( Dar es Salaam ) ili mlipunguze Mwilini mwenu unakuta Mama anamtuma Mtoto wake Dukani kununua Kitu lakini akiwaoneni tu nyie mmekaa anaongea kwa Msisitizo na Sauti ya juu kabisa huku akiyasema haya...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania UNICEF: Kila dakika '1:40' mtoto au kijana chini ya miaka 20 anaambukizwa UKIMWI

    Takribani kila dakika moja na sekunde 40, mtoto au kijana chini ya umri wa miaka 20 alikuwa anaambukizwa Virusi Vya UKIMWI, VVU mwaka jana 2019, na kufanya idadi ya watoto wanaoishi na VVU kufikia milioni 2.8, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema katika ripoti yake...
  5. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko?

    Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko? Naomba kuelimishwa kwa nini unadhani ndio au siyo.
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya, mama na mtoto wanapokea mkon’goto

    Mama hawezi tena kumlinda mtoto, wote tunapokea kibano. Labda baada ya kipigo hiki mama atamuacha huyu mwanaume aliyeyasababisha yote haya.
  7. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Malezi: Baba unatakiwa kuwa mkali mtoto wako anapofikia hatua hii

    Ma- dingi wengi siku hizi tunawalea watoto kimayai mayai sana ki- junior junior sana. Matokeo yake mtoto anakosa dira na kujiongoza peke yake huko mbeleni. Sasa Fanya haya kumuokoa mtoto wako (wa kiume) Dunia imeharibika sasa.. Hakuna wa kukunyooshea mwanao zaidi ya kumtumbukiza shimoni. 1...
  8. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto aliyeishi tumboni mwa mamake kwa miaka 13 atolewa kupitia upasuaji huko Mandera..

    Tumeanza kuona matunda ya ugatuzi wa Kenya. Kuna mama kutoka Ethiopia ambaye alishindwa kupata usaidizi wa kufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto aliyekufia tumboni mwake kwa miaka 13. Katiba mpya ilileta mfumo wa ugatuzi na hii iliiwezesha gatuzi la Mandera kujenga hospitali ya kisasa inayoweza...
  9. Meko Junior

    JamiiForums Tanzania Jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani?

    Embu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha. Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa. Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba...
  10. fungi06

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wapimwe akili kabla ya kupewa mtoto baada ya kujifungua

    Nazani mtaniunga mkono kwa maana;- Kuna mwaka fulani nikiwa bado KCMC nilifanikiwa kuona jinsi kichaa cha kuzaa kilivyo kibaya na hatari mno yahitaji moyo mno kusoma huu uzi. Kuna mwanamke mmoja (jina kapuni) nilifanikiwaga kumfanyia operation baada ya kushindwa kuzaa normal basi akazinduka...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kuwa na Kaka/Dada humlinda Mtoto na hali ya kujihisi upweke, kutopendwa, kutojitambua na kuogopa

    Profesa. Laura Padilla kutoka Chuo Kikuu cha Birgham anasema kuwa na Ndugu humlinda Mtoto na hali ya kujihisi upweke, kutopendwa, kutojitambua na kuogopa. Hii haijalishi kama Dada/Kaka wa Mtoto husika ni mkubwa kiumri au mdogo kwake. Japo Wazazi wengi huhofia Ugomvi unaojitokeza kati ya Watoto...
  12. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania KILIMANJARO: Moto uliowashwa na mama waua mtoto

    Kijana mwenye ulemavu wa miguu, Melchedek Lyimo (28), amefariki dunia baada ya nyumba aliyokuwa akiishi na mama yake mzazi kuteketea kwa moto uliowashwa na mama yake ili kuua siafu. Tukio hilo ambalo limeacha simanzi na majonzi makubwa katika Kijiji cha Kyou wilayani hapa Mkoa wa Kilimanjaro...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Mshamu (Mtoto wa Jangala) yuko wapi sasa hivi na jina lake halisi

    Vijana wa zamani kama mnakumbuka miaka ya mwishoni 80. Kulikuwa na mchezo wa kuigiza wa redio RTD kila jumapili usiku yani watu hawakosi ikifika tu saa mbili usiku jumapili watu wameshajikusanya karibu na redio. Mchezo huo ulikuwa unadhaminiwa na kibuku. Mzee Jangala alikuwa maarufu sana na...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Sababu za Mtoto kuzaliwa Njiti

    Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano duniani. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria takribani watoto milioni...
  15. Pascal_TZA

    JamiiForums Tanzania JamiiForums na Doris Foundation waungana kumpambania mtoto njiti (+picha)

    Taasisi ya Kiraia ya JamiiForums pamoja na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia mkataba wa makubaliano wa kupeleka ujumbe sahihi kwa wananchi kuhusiana na watoto wanaoizaliwa kabla ya wakati (njiti). Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi na Mhasisi wa Doris Mollel Foundation Doris...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Siku ya Mtoto Njiti Duniani: JamiiForums na Doris Mollel Foundation waingia makubaliano

    Wakubaliana kupaza sauti kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yamhusuyo Mtoto Njiti hususani Changamoto wanazopitia Watoto na wazazi wao. Pia, wanadhamiria kuielimisha Jamii kuhusu namna bora ya kuwalea Watoto Njiti. Kampeni hii imelenga kuifanya jamii iondokane na fikra potofu kuhusu...
  17. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Malezi: Mambo 20 ambayo hutakiwi kumwambia mtoto wako

    Mara kadhaa wazazi wamekuwa wakiwaambia watoto wao maneno mbalimbali wakati wakiwa na furaha au hasira. Ipo nguvu kubwa kwenye maneno ya kutamkiwa ambayo wazazi wengi hawaifahamu. Kwa hakika maneno yanaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtoto kwa kiasi kikubwa. Hivyo fahamu maneno 20 ambayo...
  18. venchwa

    JamiiForums Tanzania Niko na mtoto wa mtu tunakula maisha hapa Nairobi Kempisk hotel Westland

    Ni Toto moja la kimasai nimelipata sehem moja maeneo ya Kimara ,kwao geti kali sana,.juzi tukapanda pipa hadi arusha kwao then tukapanda Noah za namanga, tukafika mpakani wakasema lazima turudi arusha kupata Covid 19 certificate, tukakomaa kuhonga 500 ya Kenya wakatupa za kufoji, Tukaanza...
  19. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa marehemu Jade Goody sasa ni mwanamitindo

    Wakati wa uhai wake Jade alibahatika kupata watoto wawili na mtangazaji wa TV Jeff Brazier. Mtoto wao wa kwanza Bobby Brazier ni mwana mitindo sasa. Jade alifariki kwa cancer ya uzazi ambayo kwa sasa imepatiwa chanjo kwa wasichana kuanzia miaka 12.
  20. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kumfanya mtoto ajiamini (awe na confidence)?

    Wakuu ambao ni walezi na mna uzoefu, hivi ni mbinu gani mtu unaweza kutumia kumjengea mtoto kujiamini mwenye umri wa miaka 5?
Back
Top Bottom