Hii mafa JF wekeni pin kabisa.Tokea October 29 2025 mpaka sasa kama shuguli za serikali zimeamisha kuwa shuguli za propaganda,matumizi ya ovyo kwenye mamlaka,mda mwengi kujisafisha na kuumbuka.
Jinsi siku zinavyozidi kusogea na hali inavyozidi kuwa ukichaa na damu za watu.