maisha

  1. JamiiForums Tanzania Una matatizo ambayo yanakusumbua lakini hujui wapi pa kuanzia kuyatatua?

    UNA MATATIZO AMBAYO YANAKUSUMBUA LAKINI HUJUI WAPI PA KUANZIA KUYATATUA? JE, unafikiri ni nani wa kulaumiwa kwa changamoto na matatizo yote unayopitia? Ni mzazi, mlezi, Ndugu, Jamii au serikali yetu? Na Je, unajua kuwa kusuluhisha tatizo lolote lile bila kujua chanzo chake, ni kama kushindana...
  2. JamiiForums Tanzania Tuliopitia maisha ya boarding njooni tukumbushane moments

    Habari wadau! Najua wengi humu tumepitia life la shule za boarding,je ni moment zipi hauwezi kuzisahau hususa boarding za gavo au hata private?? Binafsi nimepitia maisha ya boarding za serikali hapa hapa Tanzania miaka hiyo ya nyuma, ila sio maisha ambayo kivile japo ni boarding la serikali...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Wakuu, Nina hoja fupi hapa, hivi mbona wakazi wengi wa Dar es salaam na miji mingine wanapenda kuhama usiku usiku tu? Mtu anatoka Keko anahamia Mbagala lazima atahamisha vitu usiku tu. Hivi kunani hapa? Wanaficha nini? Kwanini wasihame mchana au asubuhi? Wakuu karibuni hapa mtujuze
  4. JamiiForums Tanzania Kwenye maisha yangu sitokuja kumsahau yule Mwanamke

    Nipo naongea kwa uchungu sana Wana JF naona Mahusiano kwangu hayana Maana tena, Nimeumia Wanawake sio watu kabisa anaweza kukufanya ukaijutia siku yako nzima? Na ukakosa raha kabisa, Nasema kuanzia leo sitakuwa sehemu na Mwanamke, story ipo hivi Nilikutana jana na Mwanamke kwenye sherehe...
  5. JamiiForums Tanzania Maisha ya mkulima yanaweza kuboreshwa zaidi.

    Nilisoma habari ya mwanaume wa kizungu alizaliwa mwaka 1920. Alieleza kuwa walizaliwa watoto 10 na wote walikua na kupata miji yao. Baba na mama walikua wakulima. Nyumba yao ilikua mbele ya shamba lao. Shambani walifuga nguruwe, ng’ombe na kuku. Walilima nyanya, caroti, vitunguu, kabeji na...
  6. JamiiForums Tanzania Pale tutakapokuwa tumekabidhi maisha yetu kwa Google

    ‘Hi Google, based on everything you know about cars, and based on everything you know about me (including my needs, my habits, my views on global warming, and even my opinions about Middle Eastern politics) – what is the best car for me?’
  7. JamiiForums Tanzania Bila kuchanganyikiwa hutoboi kwenye maisha

    Tumeshazitazama sana video za hawa Jamaa wa Ghana wakicheza na majeneza misibani, fahamu tu kwamba hii ni kampuni rasmi na wanalipwa kufanya hivi na Benjamin ndie Mwanzilishi wa Kampuni hiyo, alianzisha huu mtindo ili kuondoa huzuni misibani ambako vilio hutawala zaidi kuliko kusherehekea maisha...
  8. JamiiForums Tanzania Maisha ni Vipaumbele

    MAISHA NI VIPAOMBELE Na, Robert Heriel Maisha hayana bahati nasibu, maisha huja kwa makusudi maalumu. Hakuna jambo linalotokea kwa bahati, kila litokealo chini ya jua limepangwa kwa makusudi kabisa. Watu wengi hasa wale tuishia katika ulimwengu wa tatu tunaamini kuwa maisha hayana Fomula...
  9. JamiiForums Tanzania Maisha ya ndoa yamenishinda

    Naishi na mzazi mwenzangu nahisi hana nyota ya mafanikio nifanyeje kila ninachofanya sifanikiwi kabla ya kuwa nae mambo yalikuwa hayakwami. Naombeni ushauri kwa nyogeza tu alinichanganya baada ya kumfumania na mchepuko mwaka na nusu sasa ananiomba msamaha mpaka leo anajutia na kulia kila wakati...
  10. JamiiForums Tanzania Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

    Habari zenu, Waswahili husema wendawazu ni kufanya jambo ulilofeli awali kwa namna ileile lakini ukitegemea ushindi. Watu wengi Afrika wana bidii ya kutafuta fedha au maisha lakini maisha yenyewe hawayaoni. Afrika wananchi hurogana ili tu kuipa furaha mioyo yao ya wivu. Haijalishi umesoma au...
  11. JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu formula ya maisha na mafanikio

    Nimekuwa nikisikia na kusoma hoja na mijadala mbalimbali hapa JF na kwa mara great thinker wengine mbalimbali kuhusu formula ya maisha watu wakidai maisha hayana formula ni bahati tu ya mtu wengine wakidai juhudi na bidii ndio formula ya maisha na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema maisha ni...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee na wenzake wakapate ushauri nasaha kwa Mama Sophia Simba, kuna maisha bila Ubunge wasiogope

    Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM. Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka. Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini...
  13. JamiiForums Tanzania Tafakuri: Lengo la kurefusha maisha ya mwathirika bila kumpa masharti ni lipi?

    Najua hujafa hujaumbika, so usiniletee misemo kama hiyo. Napendekeza kwamba kabla ya mtu yeyote kupewa dawa ya kurefusha maisha (kabla hajafa kwa side effects za dawa); apewe form maalum atakayosaini na kuapa kwa hatatumia fursa hiyo ya muda wa nyongeza kuusambaza na kuua binadamu wenzake kwa...
  14. JamiiForums Tanzania Donald Trump aridhia kuanza kwa mchakato wa kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Donald Trump ametangaza mapema Jumatatu jioni, Novemba 24, kwamba ameridhia ufunguzi wa mchakato wa kumkabidhi madaraka mrithi wake Joe Biden kutoka chama cha Democratic, zaidi ya wiki mbili baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais. Idara ya serikali ya Marekani inayoratibu shughuli ya...
  15. JamiiForums Tanzania Ntabo Ntaberi: Kiongozi wa waasi DR Congo afungwa maisha kwa kutekeleza uhalifu dhidi ya binadamu

    Aliyekuwa kiongozi wa wanamgambo katika taifa la jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu ikiwemo ubakaji wa watu wengi. Mahakama ya kijeshi ilimpata Ntabo Ntaberi na hatia ya muaji, ubakaji, utumwa wa kingono na kuwasajili...
  16. JamiiForums Tanzania Mambo gani yatabadilika kwenye maisha yako kipato chako kikipungua maradufu ( x 2)

    Ntahamia rasmi mkojo wa punda (balimi) ntaziacha heinken bando la data ntapunguza matumizi, kwa kiasi kikubwa nitatumia free basics Hiki chombo changu cha usafiri kinachotumia lita kadhaa kila siku itabidi nikiuze ninunue ist au vits kukabiliana na uhalisia
  17. JamiiForums Tanzania Ukifa leo, ni mambo gani utajutia hukutekeleza kabla ya kifo na yapi hayatakupendeza baada ya kifo

    1.KABLA YA KIFO Nlitumia muda mwingi kazini kuliko kwenye familia. Sikuwaomba msamaha watu nliowakosea makosa maksudi. 2. BAADA YA KIFO Binafsi ntamaindi sana jinsi ntavyopostiwa r.i.p hata na watu ambao walikuwa hawana msaada kwangu na hata hawakuwahi kunicheki kwa miaka zaidi ya minne. hizo...
  18. JamiiForums Tanzania Kumbe maisha ni bure kabisa, kuanzia leo sitajisumbua kwa lolote

    Habari zenu? Nakumbuka 2014 kipindi naingia Dar es salaam rasmi kutafuta maisha nilitamani angalau nami ifike siku niwe nimepanga hata chumba cha giza. 2015 nikapanga chumba Keko cha 30. Muda kidogo nikapanga cha 35, then nikapanga chumba na sebule kwa 100k. Then nikanunua viwanja na nimejenga...
  19. JamiiForums Tanzania Tukumbushane maisha kabla ya WhatsApp na Instagram

    Habari wakuu. Hebu tukumbushane maisha kabla ya WhatsApp na Insta ilikuaje kwako. Mi nakumbuka nilikuwa makongo sekondari aise, yaani swagga zetu ilikuwa ni kupendeza kuvaa vizuri; mademu tuliburuza sana aise bila shida yoyote maana hakukuwa na swagga za kuonekana wewe unamiliki simu kali...
  20. JamiiForums Tanzania Kila kinachotokea katika maisha yako kina sababu ya kutokea

    Kijiko alizaliwa mjini, kijana msafi sana kwa muonekano. Alimaliza masomo na kupata ajira, alifanikiwa kufungua na biashara ya maduka ya chakula. Kijiko hakua na shida ya pesa ya kula ingawa hakua tajiri. Alikua kwenye mahusioani na binti mmoja mwajiriwa katika ofisi ya serikali. Binti...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…