Unajua maisha haya bongo watu wengi wameshachoka sana tu ila amekosekana HERO wa kulianzisha tu ili watu wamalize kila kitu,na siku akitokea tu huyo mtu,yaan acha kabisaaa....
Talking about a hero,inanipeleka moja kwa moja kwenye tukio moja hivi one day pande za hillbrow
Nakatiza kwenye boda...