Washington, DC – 27 June 2025
Secretary of State Marco Rubio,
Minister Thérèse Kayikwamba Wagner of DRC,
Chairperson of the African Union Commission, Mahmoud Ali Youssouf,
Minister of State...
Najua wapo watakaouguswa na kuchagua wao wa muda furani .
Mi sidai chochote, ila ukipenda tu, changia mfuko japo mmoja saruji, maana mwisho wa siku ni kama unavyoona hapa chini:
Siku ya leo, wanajeshi 576 wa SADC,waliokuwa wamebaki nchini DRC, mission ya SAMIDRC, wameondoka na kuelekea Tanzania, ambapo watapandia ndege kurudishwa makwao.
Zimebaki tu silaha nzito, ambazo...
Nyumba zipatazo 1,400(Elfu moja mia nne), zimeanza kuvunjwa, kwa amri ya uongozi wa jiiji la Kigali.
Nyumba hizi zinazovunjwa, inasemekana zilijengwa pasipo kufuata taratibu. Cha kushanhaza...
Baada ya ripoti kutoka ngazi za chini hadi ngazi za wilaya nchini Rwanda, kuonyesha kila kitu kipo sawa, kwa sasa vyombo vya habari vinaendelea kufichua mengi. Pichani, ni watoto wa chekechea...
Pichanini tangazo kutoka account ya wizara ulinzi ya Rwanda, ikikanusha taarifa zilizosambazwa, zikionyesha wizara hiyo imeweka wazi hali ya sasa ya rais wa Rwanda.
Wizara ya afya nchini Rwanda, inasisitiza wanaume na wao kujitokeza kupata huduma za uzazi wa mpango. Ambapo njia inayopendelewa kwa wanaume hao, ni ya kuziba mirija ya mbegu za kiume. Hii...
Ni badhi ya wanachuo waliohitimu December 2024.
Walisema, baada ya MOUNT KENYA kubadilishiwa jina na kuitwa MOUNT KIGALI UNIVERSITY, kuna wanachuo walijikuta transcript zao zikionyesha miaka...
Katibu katika Wizara ya Afya nchini Rwanda, Dk. Yvan Butera, alitangaza kwamba mtu mmoja kati ya watano nchini Rwanda amepata tatizo la afya ya akili.
Matatizo yaliyoenea zaidi kati ya haya ni...
Siku Baada ya Kifo:
Siku ya 3: Kucha huanza kudondoka.
Siku ya 4: Nywele huanza kuoza.
Siku ya 5: Ubongo huyeyuka kwa kasi.
Siku ya 6: Tumbo huchuruzika kutoka mdomoni na sehemu za siri.
Siku ya...
Nchini Rwanda, watumiaji wa maji walioshindwa kulipa Bill zao, kuanzia sasa kuwekwa katika mfumo wa CRB. Mfumo huu, huwazuia watu kupata huduma mbali mbali, maana kila inapoingizwa namba yako ya...
Alisimulia akasema:
Nilikuwa nimeoa, na mke wangu alikuwa mfupi wa kimo na mwenye mwili dhaifu ukinilinganisha na mimi…
Mimi nilikuwa na urefu mkubwa na misuli mingi…
Mwenyezi Mungu alinitunuku...
Hayo ni maneno ya General Maphwanya, mkuu wa jeshi la Afrika kusini. Aliesema vita vya DRC huenda vikapanuka na kuwa vya ukanda, aliona mbali. Je, atafanikiwa kweli?
Taarifa zenyewe husema hii...
Kwa kichapo inachoendelea kupata Israel, ni wazi biashara na mataifa mbali mbali hazina priority.
Inavoonekana, Israel haikutegemea itafumuliwa kwa kiasi tunachokiona. Watu wasio na makazi,miundo...
Kuna siku nliambiwa nimtaje rafiki yangu alaf atapigiwa simu nayye akinitaja me napewa 10000 nikamtaja aseee tena ni mtu nimekaa naye room moja kabisa na tunawasiliana kila siku alipoulizwa...