Usisaliti msosi, ndo rafiki wa kweli

Usisaliti msosi, ndo rafiki wa kweli

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,489
Reaction score
1,465
Kuna siku nliambiwa nimtaje rafiki yangu alaf atapigiwa simu nayye akinitaja me napewa 10000 nikamtaja aseee tena ni mtu nimekaa naye room moja kabisa na tunawasiliana kila siku
🤣
🤣
alipoulizwa hakunitaja, akaambiwa ataje watano bado sikwepo
😃
😃
😃
😃

Tangu siku hyo nikaanza kupenda misosi maana rafiki wa kweli ni njaa haiwezi pita siku bila kunikumbuka
🤣
🤣

1750524921718.png
1750524946837.png
1750525228874.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom