Wanajeshi wa SADC/SAMIDRC,hakuna aliebaki DRC sasa

Wanajeshi wa SADC/SAMIDRC,hakuna aliebaki DRC sasa

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,489
Reaction score
1,465
Siku ya leo, wanajeshi 576 wa SADC,waliokuwa wamebaki nchini DRC, mission ya SAMIDRC, wameondoka na kuelekea Tanzania, ambapo watapandia ndege kurudishwa makwao.

Zimebaki tu silaha nzito, ambazo haziwezi kusafirishwa kwa njia ya barabara.

Kila la kheri Congo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom