VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,489
- 1,465
Siku ya leo, wanajeshi 576 wa SADC,waliokuwa wamebaki nchini DRC, mission ya SAMIDRC, wameondoka na kuelekea Tanzania, ambapo watapandia ndege kurudishwa makwao.
Zimebaki tu silaha nzito, ambazo haziwezi kusafirishwa kwa njia ya barabara.
Kila la kheri Congo
Zimebaki tu silaha nzito, ambazo haziwezi kusafirishwa kwa njia ya barabara.
Kila la kheri Congo