Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Muonekano wa sasa: Muonekano wa awali: Wanajeshi au walio karibu nao wanaweza kutujuza sababu
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Kwa wale wapenzi wa mifugo,hiyo hapo
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Kayikwamba, like Tshisekedi, has dismissed the FDLR as merely a "pretext." But how can one claim to dismantle something they don’t even recognize as real?You cannot eradicate what you insist is...
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Paul Kagame
0 Reactions
2 Replies
159 Views
“The Trump administration kept looking at a combination of three matters that needed to be addressed. The political, the security, and the economic while in some other people's minds it was just...
0 Reactions
1 Replies
297 Views
Mwanamke akifua nguo za mmewe au mpenzi wake, akikuta hela, anakausha,kama hakijatokea kitu. Acha akute Condom sasa! Anacharuka kama si yeye. Kwenu wanawake, Si na kwenye hela basi iwe inakuwa...
0 Reactions
1 Replies
127 Views
Washington, DC – 27 June 2025 Secretary of State Marco Rubio, Minister Thérèse Kayikwamba Wagner of DRC, Chairperson of the African Union Commission, Mahmoud Ali Youssouf, Minister of State...
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Najua wapo watakaouguswa na kuchagua wao wa muda furani . Mi sidai chochote, ila ukipenda tu, changia mfuko japo mmoja saruji, maana mwisho wa siku ni kama unavyoona hapa chini:
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Siku ya leo, wanajeshi 576 wa SADC,waliokuwa wamebaki nchini DRC, mission ya SAMIDRC, wameondoka na kuelekea Tanzania, ambapo watapandia ndege kurudishwa makwao. Zimebaki tu silaha nzito, ambazo...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Nyumba zipatazo 1,400(Elfu moja mia nne), zimeanza kuvunjwa, kwa amri ya uongozi wa jiiji la Kigali. Nyumba hizi zinazovunjwa, inasemekana zilijengwa pasipo kufuata taratibu. Cha kushanhaza...
0 Reactions
4 Replies
265 Views
Baada ya ripoti kutoka ngazi za chini hadi ngazi za wilaya nchini Rwanda, kuonyesha kila kitu kipo sawa, kwa sasa vyombo vya habari vinaendelea kufichua mengi. Pichani, ni watoto wa chekechea...
0 Reactions
1 Replies
180 Views
Pichanini tangazo kutoka account ya wizara ulinzi ya Rwanda, ikikanusha taarifa zilizosambazwa, zikionyesha wizara hiyo imeweka wazi hali ya sasa ya rais wa Rwanda.
0 Reactions
1 Replies
233 Views
Wizara ya afya nchini Rwanda, inasisitiza wanaume na wao kujitokeza kupata huduma za uzazi wa mpango. Ambapo njia inayopendelewa kwa wanaume hao, ni ya kuziba mirija ya mbegu za kiume. Hii...
2 Reactions
1 Replies
233 Views
Ni badhi ya wanachuo waliohitimu December 2024. Walisema, baada ya MOUNT KENYA kubadilishiwa jina na kuitwa MOUNT KIGALI UNIVERSITY, kuna wanachuo walijikuta transcript zao zikionyesha miaka...
0 Reactions
1 Replies
181 Views
Katibu katika Wizara ya Afya nchini Rwanda, Dk. Yvan Butera, alitangaza kwamba mtu mmoja kati ya watano nchini Rwanda amepata tatizo la afya ya akili. Matatizo yaliyoenea zaidi kati ya haya ni...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Siku Baada ya Kifo: Siku ya 3: Kucha huanza kudondoka. Siku ya 4: Nywele huanza kuoza. Siku ya 5: Ubongo huyeyuka kwa kasi. Siku ya 6: Tumbo huchuruzika kutoka mdomoni na sehemu za siri. Siku ya...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Nchini Rwanda, watumiaji wa maji walioshindwa kulipa Bill zao, kuanzia sasa kuwekwa katika mfumo wa CRB. Mfumo huu, huwazuia watu kupata huduma mbali mbali, maana kila inapoingizwa namba yako ya...
0 Reactions
1 Replies
156 Views
Back
Top Bottom