Wanajeshi wa SAMIDRC kuanza kuondoka DRC

Wanajeshi wa SAMIDRC kuanza kuondoka DRC

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,489
Reaction score
1,465
South Africa imetangaza kuwa, kundi la kwanza la wanajeshi hao, waliokuwa DRC kwa jukumu la kupambana na M23, litawasili nchini humo tarehe 13 Juni, 2025.

Wanajeshi hao pamoja na silaha zao, walifika Tanzabia kwa nyakati tofauti kupitia Rwanda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom