Somalia yanyonga wanajeshi wake 2

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
4,262
Reaction score
5,975
Jeshi la Somalia, limewanyonga wanajeshi wawili waliokutwa na hatia ya kujihusisha na kundi la waasi la Al-Shabab. Walikutwa na hatia baada ya kiongozi wao Aided Mohamed Ali, kuuwawa, na hatimae kubainika walivujisha siri za uwepo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…