Hivi, kifuatia mzozo unaoendelea mashariki mwa Congo; Rwanda inasema inaimalisha ulinzi wa mipaka yake. Mipaka yote ya Rwanda kwa sasa, inapakana na eneo la M23. Kwa maana, serikali ya DRC kiuhalisia haipakani na Rwanda.
Makubaliano ya juzi huko USA, yalihusisha Rwanda na DRC. Inakuwaje, Rwanda ihofie usalama wake wakati M23 ishafukuzia mbali waasi wa FDLR!?
Makubaliano ya juzi huko USA, yalihusisha Rwanda na DRC. Inakuwaje, Rwanda ihofie usalama wake wakati M23 ishafukuzia mbali waasi wa FDLR!?