VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,489
- 1,465
Watoto wengi hawana mahausiano mazuri na baba zao,
kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao.
Huyajui ya mama' ako, kwa sababu baba' ako, alichagua kuyaficha ........
kakae chini na baba' ako, mwambie akusimulie machache ya mama' ako, unaweza hata kufa
kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao.
Huyajui ya mama' ako, kwa sababu baba' ako, alichagua kuyaficha ........
kakae chini na baba' ako, mwambie akusimulie machache ya mama' ako, unaweza hata kufa