Kazi hiyo ya vibaka jijini Kigali

Kazi hiyo ya vibaka jijini Kigali

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,489
Reaction score
1,465
1748366014325.png




Bwana huyu pichani, kakumbana na vibaka waliomjeruhi na mpaka sasa yupo mahututi hospitalini.

Miji mingi nchini Rwanda, imekuwa ikikumbwa na wingi wa vijana wasio na kazi, na hutegemea maisha yao kwa kuibia watu, kuwapora walivyoo navyo(mara nyingi simu na pesa). Watu hao hujeruhiwa kwa viwembe na mapanga.
Polisi inajitahidi kukabiliana nao, lakini huongezeka kila kukicha, na matukio yanazidi kushamili, ambapo raia huliona kama jambo lisilo na madhara mbele ya vyombo vya usalama. Matukio haya, huambatana na wizi wa majumbani, ambapo vitu vya kielektroniki ndo hupendelewa zaidi.
 
Back
Top Bottom