KWENYE MAISHA YAKO YOTE OGOPA KUKATALIWA NA MUNGU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kukataliwa na Mungu wako.
Mungu ni mwingi wa rehema. Mwenye huruma nyingi. Mwenye upendo mwingi.
Ikifikia hatua amekukataa my friend game over. Umekwisha.
Alafu ukikataliwa na Mungu unajua tuu.
2. Maisha...