wife

A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Wife kaninunia kisa hiki

    Habari wakuu Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nimemuambia wife awe anasuka style hii ya nywele ili ku-save cost, kaishia kunisunya na kunibinulia midomo

    Kwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja, mchepuko ana ujauzito wa miezi mitatu

    Wakuu Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa, ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja. Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba. Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu. Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
  4. kyagata

    JamiiForums Tanzania Wife anataka kunigeuza sex machine

    Oya, hivi kwa week inatakiwa kugegedana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake? Yaani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakuwa nimechoka sometimes. Nifanyaje ili kumpunguza speed?
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Josephine de Beaurhunais the first Napoleon wife, they got married in 1796

    Joséphine, Empress of France Joséphine de Beauharnais was the first wife of Napoléon I. Married previously to Alexandre de Beauharnais, who was executed during the French Revolution, she and Napoléon were wed in 1796. She had two children from her first marriage, but was unable to provide...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

    Kwema wakuu? Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion. Kwa upande wangu...
  7. Digging deeper

    JamiiForums Tanzania Unamfahamuje wife material?

    Habari wanabodi wa MMU, Hivi ni kigezo gani wanaume wanakitumia kusema huyu mwanamke ni wife material?
  8. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

    Hello watanzania wenzangu! Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%. Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick. So last weekend wife...
  9. T

    JamiiForums Tanzania A 35 yr old brother looking for a wife

    Hello goodpeople. Brother wenu hapa natafuta pumziko la moyo. Nina 35 years Nina watoto wawili( naishi nao) Divorced Nina kwangu pia ni mkristo Natafuta mwananmke mweye sifa hizi Awe mzuri(usiwe mnene) Uwe unajitegemea Usizidi 35 Uwe dar es salaam Dini yoyote tu. Nipo serious drop a PM so...
  10. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Francis Onebe: Businessman faces murder charges over wife’s body found in septic tank

    The Director of Public Prosecutions has preferred murder charges against businessman Francis Onebe after a decomposing body was recovered from the septic tank at their marital home. Onebe in January reported to police about the disappearance of his wife Immaculate Mary Blessing Asio whom he...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wife alikuwa na maana gani hapa wakuu?

    Habari wakuu? Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar. Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu. Kwa wazoefu wa haya...
  12. billcrammer

    JamiiForums Tanzania Ivi wife material yafaa awee na umbo la aina gani..

    1)Mwenye msabwanda alafu awe medium kiwango 2)mwenye mwili ndogo ana mbsabwanda la kichizii na awe medium 3)mfupi mnono Wakuu wapi ndo sure bet
  13. M

    JamiiForums Tanzania 4 Things to tell your wife or girlfriend during love making

    When you're in a relationship, it's not just love and affection that keeps the connection going. A strong sense of intimacy and connection is required for your relationship to flourish and thrive. One of the variables that might help you improve the level of closeness and intimacy between you...
  14. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Blow by blow account on how Kiambu businessman killed his wife

    There was one problem in this seemingly blissful union: Johnathan Mukindi, 42, didn’t want children and Philomena Njeri, 30, became desperate for a family. He never told her he was impotent. They even tried IVF. He knew it wouldn’t work. When she became pregnant, he knew she had a secret lover...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Mume amuua mke wake kwa bunduki yeye pia akijamaliza

    According to a police report on the incident, Jonathan Mukundi Gachunga, who was a licensed firearm holder, is said to have shot his 30-year-old wife in the head before taking his own life using the same weapon. The lifeless bodies of the two were found inside their bedroom which had been...
  16. G.Man

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunaoa so called `Wife materials` lakini bado kwenye ndoa ni majanga?

    Habari wakuu, Rejea mada tajwa. Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao (japo wengi hawataki kujionesha), angalia kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete...
  17. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mwezi ukiandama mnishtue. Nimekula pesa ya wife ananidai

    Wife ananidai laki 7. Take home yangu haifiki hiyo laki 7. Si mnajua jinsi bank wanavyokaba mpaka penalty. Hawana cha kuruka mwezi, wao kila mwezi wanachukua chao mapema. Mkiuona mwezi nishtueni chap nipunguze laki 5 mbili atanisamehe nikimpa chips chumbani.
  18. Zaburi 23

    JamiiForums Tanzania Nahisi mke wangu anachepuka

    Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo. Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mke aliye tayari kwa ndoa halali

    Mimi ni Kijana Me Umri 32 Rangi: Mweupe wastan Mwajiriwa wa serikalini pia nimejiajiri Sijawahi oa wala sina mtoto Dini: islam Elimu: Bachelor Degree Height: 5.7 Umbo : wastan si mnene wala mwembama sana Mke anayehitajika Umri:22-29 Itapendeza zaidi kama atakuwa mwembamba wastan Rangi: Mweupe...
Back
Top Bottom