tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Watu wasio kuwa na sifa za kuwa raia wa Tanzania upo uwezekano wa Wao kupata vitambulisho vya NIDA

    Kama kichwa cha Habari ulivyo soma hapo juu.Ni kwamba kuna changamoto katika utoaji wa Vitambulisho vya Taifa,hasa kwa Mikoa inayo pakana na Nchi jirani. Mfano ni Mkoa wa Kigoma, unakuta baadhi ya Watu wana wamiliki Warundi kwa miaka mingi na kuwafanyisha kazi za Majumbani,Mitaani na...
  2. cheusimangala_

    JamiiForums Tanzania Bandari za Tanzania bado zitabaki kuwa suluhisho kwa waagizaji wa mafuta Afrika

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority) ni shirika la umma linalofanya kazi zake chini ya Wizara ya Miundombinu. Na ina jukumu zima la kuongoza na kuendesha bandari za bahari na maziwa ya nchini Tanzania. Mamlaka hiyo ipo mjini Dar es Salaam na ni bandari mwanachama wa Jumuia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa ujenzi, ipi tofauti ya ubora kwenye Gypsum?

    Wakuu!! Kuna hizi Gypsum, ni teknolojia mpya tofauti kabisa na siling boards tulizozizoea. Naomba kujulishwa, kuna tofauti gani ya ubora kati ya Gypsum ya Tanzania( inayouzwa Tsh 13,500/-), China (Tsh 15,000), Kenya (Tsh 15,000), Malaysia (Tsh 18,000) na Touch boards za kampuni ya Ando (Tsh...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Je, wajua mkoa unaoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu maskini Tanzania?

    Kutokana na utafiti uliofanywa na NBS (National Bureau of Statistics) HBS 2017/18, Mkoa wa Mwanza unaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu maskini (1,184,188 + 321,978 = 1,506,166) sawa na asilimia 42.6 ikifuatiwa na Kigoma huku Njombe ikiongoza kwa idadi ndogo zaidi. Ikumbukwe kuwa Mkoa wa...
  5. Kigogo2020

    JamiiForums Tanzania Matrafiki wa Tanzania hawajui wanachokifanya

    Traffik Tanzania ni wajinga na wapumbavu. Nasema hivyo kwasababu hawajui wanachokifanya. Nipo mataa ya mwenge toka saa 11 jion na sasa ni saa 1 usiku. (31 oct 2019) Traffik wewe mpumbavu unaruhusu gari za kutoka mjini kwenda Tegeta na kusababisha foleni ndefu sana ya magari yanayotokea ubungo...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Jobs Opportunities at Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)

    ICT OFFICER I (Data Scientist/Engineer)- 6 Positions The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a quasi-independent Government body responsible for regulating the Communications in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Act No. 12 of 2003 to...
  7. deecarter

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Kenyan vs Tanzanian musicians

    Kama unaona Kenya au Tanzania ipo juu katika upande wa music and entertainment market, let us know with evidence na nchi gani musiki unalipa kati ya hizo nchi mbili.
  8. Bata batani

    JamiiForums Tanzania Ni kabila gani linaloongoza kuwa na watu wabunifu, wagunduzi wa vitu na wenye akili

    Nipo kwenye sehemu hapa kuna watu wanabishana eti ni kabila gani hapa tanzania lenye vijana ambao wabunifu,wenye akili sana na wenye vipaji vya ugunduzi wa vitu..... Mfano / kuna wanasema sisi kabila ...yy tumegundua vitu xx jee wewe unasemajee
  9. M

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia yaishauri Tanzania kuwekeza kwenye elimu na afya

    Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources. Jisomee hapa: ==== Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New Job Vacancies at Vodacom Tanzania, Administrator: M-PESA Agents | Deadline: 01st November, 2019

    Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN JOB PURPOSE The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New internships opportunities at International Organization for Migration (IOM) - Tanzania

    New Internships Vacancies at International Organization for Migration (IOM) - Tanzania | Deadline: 06th November, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 CVAC Intern - [1 Position] Dar es Salaam, United Republic of Tanzania] TERMS OF REFERENCE I. POSITION INFORMATION Vacancy...
  12. GAS STATE

    JamiiForums Tanzania Ex-soldiers na elimu yetu ya Tanzania

    Asalam wakuu Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo Tanzania/Tanganyika. Harakati hizi zilichochewa na sababu kadhaa za ndani ya nchi na nje ya nchi, mojawapo...
  13. njiwaji

    JamiiForums Tanzania Piga kura kuchagua jina la sayari-nje ya Tanzania

    Piga kura kuchagua jina linalofaa kwa sayarinje ya Tanzania Sayarinje ni sayari zinazozunguka nyota ambazo zipo nje ya mfumo wa Jua. Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayarinje mojawapo iliyogunduliwa karibuni. Wanafunzi wa shule na wanavikundi mbalimbali wameshindanishwa kupendekeza...
  14. diana chumbikino

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaingia ‘Top Ten’ mazingira bora uwekezaji Afrika

    TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi . Akizungumza na wanahabari leo tarehe 28 Oktoba 2019, Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) amesema, utafiti huo huria uliofanywa na Kampuni...
  15. Dua

    JamiiForums Tanzania Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct

    Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct -statistics bureau (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala Editing by Maggie Fick) Huwezi ukabeza juhudi za JPM anayeongoza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya chama shupavu cha CCM. Hapa Kazi Tu. === Tanzania Q2 GDP growth...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 16 New Government Job Vacancies UTUMISHI at Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) | Deadline: 07th November, 2019

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/96 25th October, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 16 vacant...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 8 new volunteering opportunities at SNV tanzania | deadline: 03rd november, 2019

    Jobs in Tanzania 2019: New Volunteering Opportunities at SNV Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Job Title: Volunteers (8 Posts) Job Summary The volunteers will be placed at project boundary partners’ stations in the dairy and sunflower markets systems. The boundary...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Zimebaki siku chache tu Taifa la Tanzania liingizwe katika aibu kali ya kufungia huu mwaka wa 2019 huko Misri

    Na tarehe husika ya hiyo ‘ Aibu ‘ ni ama tarehe 1 Novemba au tarehe 3 Novemba huko nchini Misri. Na labda mapema tu hii tuanze Kuiomba Serikali kupitia Wizara husika ya Michezo ianze Kuwaandaa Watanzania ‘ Kisaikolojia ‘ na ikiwezekana hao ‘ Mabalozi ‘ wetu watakasafiti kututia ‘ Aibu ‘ huko...
  19. Zitto

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

    Nasubiri Bandari Kubwa ya Lamu izuie Bandari Ndogo za Dar na Mombasa: Namna Maarifa Madogo Yanavyoiua Bandari ya Bagamoyo na Kuifaidisha Kenya Kumekuwa na mijadala mikali kuhusu Mradi wa Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo. Mjadala huo wenye malumbano ya kurushiana shutuma umekuwa mjadala mbovu sana...
  20. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mwanariadha wa Tanzania ashinda medali ya silver katika mashindano ya riadha ya majeshi

    Mwanariadha Alphonce Simbu amefanikiwa kushinda medali hiyo katika Mashindano ya Majeshi ya Dunia yanayoendelea nchini China. Mwanariadha huyo ambaye ni Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alikimbia Marathon kwa saa 2:11:16 huku akiwashinda wakimbiaji wengine 95 kutoka nchi...
Back
Top Bottom