Salaam wakuu,
Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,
Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.
Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.
-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia...