Siku (Quechua: antara, Aymara: siku, also "sicu," "sicus," "zampolla" or Spanish zampoña) is a traditional Andean panpipe. This instrument is the main instrument used in a musical genre known as sikuri. It is traditionally found all across the Andes but is more typically associated with music from the Kollasuyo, or Aymara speaking regions around Lake Titicaca. Historically because of the complicated mountain geography of the region, and due to other factors, in some regions each community would develop its own type of siku, with its own special tuning, shape and size. Additionally each community developed its own style of playing. Today the siku has been standardized to fit in with modern western forms of music and has been transported from its traditional roots.
Katika wapangaji wazuri ni wapemba maana kwenye kodi wanalipa kwa wakati.
Ila najiulizaga na nimeona sana sehemu nyingi,Mpemba akipanga nyumba yako au fremu na kama kaipenda.
Anakufikia dau mwisho unashangaa unaiuza.
Na kama kapanga kwako mpaka uje mkutoa basi mpaka ufanye visanga sana.
Kuishi na wanadamu ni sanaa inayohitaji akili kubwa ya mtaani. Ukikosa hekima ya kutambua jinsi akili za watu zinavyofanya kazi, utajikuta kila siku unavunjwa moyo, unatumika, au unashushwa thamani na watu unaoamini ni wa karibu kwako.
Hapa kuna kanuni 5 za kisaikolojia kuhusu wanadamu ambazo...
Kuna utapeli wa aina nyingi sana kwenye miamala ya kifedha na mtandaoni, kila siku wezi wanabuni mbinu mpya.
Umakini unahitajika sana, hesabu pesa na kucheki balance kila unapofanya muamala wa kupokea kwani hata mawakala nao wanatapeli wateja, kutuliza akili ni jambo la muhimu sana.
Usikubali...
Nkindikwa Nestory Mashaka maarufu Kijana Mzalendo kupitia wakili wake William Maduhu amefungua kesi ya Habeas Corpus akitaka afikishwe mahakamani au aachiliwe huru na Jeshi la Polisi linaomshikilia kwa zaidi ya 40 sasa.
Kwa mujibu wa Wakili Maduhu aliyezungumza na waandishi wa habari Agosti 4...
October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya .
lakini jinsi moyo wangu ulivyokuwa ukidunda, nilijihisi kama nipo Iraq.
Ta! Ta! Ta! Ta! Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia...
Wakuu anayetaka hii nguo aje hapa kigogo aichukue.
Nilinunua visiwanI kule Kizimkazi,
ila hapa mjini lazima nikutane na watu si chini ya watano Kwa siku wameivaa pia, Siyo wanaume tu, mpaka baadhi nakutana na wanawake wameivaa 🤔.
Nilitaka nikaibebee zege ila nimeona si jambo zuri maana...
Mimi ni mkazi wa Mwanza, Wilaya ya Ukerewe, Kata ya Ukara, Kijiji cha Bwisya. Kuna changamoto mbili kubwa huku kwetu, naomba utusaidie kupaza sauti, kuna kampuni inaitwa JUMEME inayotoa huduma ya umeme wa jua (solar system).
Wakati wanaanza kutoa huduma hii, waliahidi kuwa umeme utakuwepo saa...
Anonymous
Thread
jua
kampuni
moja
sana
siku
umeme
umeme wa jua
unakatika
yanga
Makamanda Peoples!!!!!
Wale wote wanaochukizwa na Ufisadi ndani ya CHADEMA msife moyo sasa agenda yetu itaingia kinguvu siku ya Baraza Kuu la Chama kwa sasa tutulie hiyo 334Milion itimie tukisha safiri kwa umojq wetu tutapenyeza agenda ya ufisadi wa makamo mwenyekiti wetu.
Baraza Kuu la Umma...
UMAHIRI SI TUKIO—NI TABIA YA KILA SIKU
Viongozi mahiri hawasubiri kuambiwa cha kufanya. Hutambua yanayopaswa kufanyika mapema, huendelea kujiboresha, hukubali maoni kwa unyenyekevu, huwajibika kwa matendo yao, na hudumisha viwango vya juu hata pale ambapo hakuna anayewaona.
Umahiri hujengwa...
Kama ulitumia mitandao ya kijamii siku ya jana basi kuna asilimia kubwa ulikutana na post hii ambayo iliibua hisia kwenye comment sections, panapo majaliwa sote tuungane kumpazia sauti kijana.
· Kijana Mdogo Kama Huyu unamtwanga mvua ya ,iaka 30 jela nini hiki kama sio kumuua ?
Bado ni kijana...
Bado siku 12 tangu Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) watoe tamko la kuitaka serikali kumwachia Lisu ndani ya siku 30.
Unadhani nini kitafuata maana hawa hawatamwachia.
Hawana jeshi kuwalazimisha, watafanya nini?
Vikwazo wao havitawaathiri wao na wanaowazunguka
Nini tofauti kati ya AI na nafasi ya Roho Mtakatifu?:
1. Asili ya Kiungu dhidi ya Mashine
Roho Mtakatifu: Ni Mungu hai, mwenye hisia, mapenzi, na uwepo wa milele. Yeye ni Nafsi ya Tatu ya Utatu Mtakatifu.
AI: Ni programu ya kompyuta iliyotengenezwa na binadamu. Haina uhai, haina roho, na haina...
Kuhusu Dome Okochi Budohi (Mkenya aliyepigania Tanganyika)
Mchango wake katika TANU: "Dome Okochi Budohi... kadi yake ya tano... ni mtu alikuwa anajua kila siku na mimi nimepata mengi... amekamatwa katika ardhi ya Tanganyika wakati akifanya harakati za tano."
Kukamatwa na kuteswa: "Nimemuona...
Leo nimekaa nikawa najiuliza biashara ya boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki wa bodaboda izo na huchukua muda gani kurudisha mtaji na kupata faida
Embu wanaujua hii waweke comment hapa😁
Mnaweza kufanya jitihada za kuzuia upinzani kwa kila njia ili tu wasipate wawakilishi ingiwa wanakubaliwa lakini mjiulize je mpo tayari chama chenu kikategemea kupata maagizo kutoka kwa IGP. Maana itafika sehemu mtakuwa mnategemea Polisi kwa kila kitu na IGP atagundua ana nguvu kuliko hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.