Sijui tuite mapinduzi katika sekta ya ulozi na uganga!?
Haya yanafanyika na yanatokea kila siku mitaani na katika jamii zetu,yaani mtu anafanya kitu ndivyo-sivyo alimradi to inakuwa ametimiza kusudio la bwana mganguzi.
-Upo uchawi unaotumia kupatwa kwa jua au mwezi,mti uliopigwa radi,kamba...