WanaJf salaam!
Najiuliza tu, kwamba shauku ya Rais Samia ni kuendelea kuongoza nchi hii kupitia chama chake cha CCM, tena anapenda chama kishinde uchaguzi katika mitaa na vijiji 2024. Kisha ashinde nafasi za Ubunge na Urais.
Wakati huo upinzani umeshamuona kama kiongozi mwenye msimamo wa kadri...