Hello,
Nimekuja kwenu ndugu zangu naomba mnipe mawazo yenu, naomba mnishauri kama ndugu au rafiki yenu. Sitaficha chochote.
Nilimaliza chuo miaka kama 5 iliyopita nkapata kazi private after two years kazi ikaisha.
Nilifungua bihashara ikadumu mwaka mmoja then ikafilisika, baada ya hapo...