Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.
Swali langu ni je,route hiyo imekufa?
Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya...