Kuna mzee wa heshima sana aliniomba nimsetie simu yake mambo fulani.
Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo.
Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog...