Kila nikitoka home nikirudi,huyu mke wa mpangaji mwenzangu ananiomba zawadi.
Nikasema ngoja nimtege kidogo,jioni hii nimepita duka flani la nguo za kike nikanunua chupi za kike kama 3 hivi ,nimefika tu home naingia getini nashangaa mtu ananiulizia zawadi zake,nimetoa mfuko nikampa
Nikamwambia...