Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Hawa bado wana mambo ya kizamani sana. Eti ukabila bado unawafanya wanyukane mishale na kuuana. Halafu utawasikia oh mbona na huko Tanzania kuna fujo. Kizungu cha ugoko kingii lakini bado.
=======
Ethnic killings in Marsabit County continue to intensify as four more people are killed today...
Kuna battle nimeiona sehemu fulani kati ya Wakenya na Watanzania kila upande ukijinadi kua na warembo wazuri kumshinda mwenzake, binafsi mimi mara yangu ya kwanza kufika Kenya nilipata shida sana kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke kwani wanawake wengi wa Kenya hawana tofauti na wanaume...
Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya na ya Jumuia ya Afrika kupeperushwa nusu mlingoti kwa heshima ya marehemu Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuanzia kesho Juni 13 hadi siku ya mazishi
Rais Pierre Nkurunziza alifariki Juni 9 katika hospitali ya Karusi Fiftieth Anniversary baada ya...
90 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of positive cases in the country to 3,305.
Health CAS Rashid Aman said all the new patients are Kenyans: 62 are male while 28 are female.
The youngest of them is 14 years old while the oldest is 80 years old...
Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela
Mamlaka inayoangazia utendakazi wa polisi nchini Kenya IPOA, Jumatano ilisema kwamba Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi katika taifa hilo la Afrika Mashariki katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutoka nje usiku, kati ya masharti...
Polisi watatu wamekamatwa nchini Kenya baada ya mmoja wa polisi hao kuonekana akimchapa na kumburuza mwanamke mmoja kwa pikipiki.
Mwanamke huyo anadaiwa kuhusiana na tuhuma za wizi mjini Nakuru.
Mwanamke huyo amelazwa hospitali baada ya kuumia miguuni na mikononi.
Mwanamke huyo amekiambia...
Kenya total tarmaced roads increased by 1500km in one year to 21,000km in 2019. In 2018, Kenya had a total of 18,600km of paved roads in the entire country. This was three two times what Tanzania had the same year. Paved roads are expected to 23,000km in 2020
Salamu wa JF. Naomba matusi yasiwepo.
GDP (gross domestic product) inapatikanaje? Mpaka mashirika ya kimataifa wanatoa ripoti.
Kwa upande wangu nikichukulia neno domestic product inakuwa na maana ya mazao yatokanao na uzalishaji wa ndani.
Ninaomba kujua hao wataalamu wa mashirika ya kimataifa...
Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi nchini Kenya katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutembea usiku ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona, ripoti huru ya mamlaka inayoangazia makosa ya polisi katika taifa hilo (IPOA) imesema.
Polisi sita sasa watashtakiwa kwa makosa ya...
127 more people have tested positive for coronavirus in Kenya bringing the total to 2,989.
Health CAS Rashid Aman said 2,247 samples were tested in the last 24 hours.
124 of the new cases are Kenyans while three are foreigners: 84 are male and 33 are female.
The youngest patient is a...
Why is Kenya more famous than most other African countries?
This is an interesting question, I’ve also found myself wondering why Kenya is so well known compared to most other African countries, so I did a bit of digging, and here’s what I found:
History
It is considered the cradle of...
Katika kupambana na madhara ya corona Kenya imeendelea kupokea misaada kutoka nchi mbali mbali Duniani ili kusaidia sekta ambazo zitaathirika zaidi.
Hadi sasa Kenya imeshapokea msaada wa Dollar Millions 350 kutoka umoja wa ulaya na nchi moja moja za ulaya zimeichangia Kenya Dollar Million 33...
Health Chief Administrative Secretary Dr. Rashid Aman on Monday announced that a record 97 patients were in the last 24 hours discharged from various health facilities in the country after recovering from COVID-19.
Dr. Aman, speaking during the daily coronavirus briefings at Afya House in...
Kamwe fahari wawili hawawezi kaa zizi moja. Katiba yao mpya iliweka fahari zaidi ya watatu katika zizi moja. Ona sasa mambo ya utawala wa nchi unavyokuwa mgumu.
Over 2500 students who qualified to go to University in the class of 2019, have opted to go to technical colleges and pursue diplomas
Kenyan Technical colleges have also started gaining recognition globally with Railway Training Institute in Nairobi undergoing a major refurbishment into the...
Trucks caring goods are parked at Isebania border at Kenya customs parking yard on May 19, 2020. Six truck drives from Kenya were denied access to Tanzania, [Caleb Kingwara, Standard]
Kenyan truck drivers urge the state to intervene and facilitate their release after being detained in...
Walikua wanasafiri kutokea Tanga kuelekea Pemba............
Seven Tanzanian fishermen escaped death by a whisker after Kenyan government rushed to their rescue when their boat capsized in the Indian ocean.
The group made a distressed call near Mtwapa along the Kenyan Coastline after their...
Bila aibu kwa miaka mingi sana sasa, Wakenya wana watangazia wazungu na wote duniani mlima Kilimanjaro upo Kenya. Wazungu wote waliodanganywa hivyo wamechukia sana baada ya kuwalazimu kulipia viza za nchi mbili na kupoteza muda mwingi na pesa zao.
Huu ni ushenzi wa kijinga na wivu mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.