kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pakistan imports of Kenya tea rise 11pc

    Tea purchases by Pakistan, Kenya’s largest buyer of the product, rose by 11.4 percent to Sh3.9 billion in the first four months of the year. The increase in value comes at a time when Kenya is experiencing one of the worst price declines in the last 10 years, attributed to lower demand for the...
  2. simplemind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hilary Ng’weno, mwana habari bingwa Kenya afariki

    Atakumbukwa hasa kwa jarida la siasa the weekly review miaka ya themanini na Documentary Making of the Nation inayooneshwa na kituo cha NTV Kenya. Mkenya wa kwanza kujiunga na chuo cha havard marekani aliposome fizikia(Nuclear physics) Mungu amlaze pema peponi. --- Hilary Ng’weno, the...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Wazalishaji wa bidhaa wa Kenya na Tanzania kufanya mazungumzo ili kuwezesha masoko ya bidhaa zao

    Wazalishaji wa bidhaa wa Kenya na Tanzania wamefanya mazungumzo ili kujadili juu ya kukuza biashara ya pamoja na upatikanaji wa soko kati ya nchi hizo mbili. Mkutano umeanza Jumatano hii na unataraji kuendelea mpaka Ijumaa ambpo utawahusisha wawakilishi wa Serikali. Upande wa kenya Kenya...
  4. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya ng'ombe toka Kenya sasa Wakenya wanaleta ng'amia

    MY TAKE Hawa wapumbavu wakiachwa watasababisha migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji imagine ngamia 89 wanaswagwa kwa njia za vichochoro! Hii si mgogoro unatafutwa kwa mazao ya wakulima? Ni vizuri uhamiaji wameingilia kati, wacha mahakama iamue hili!
  5. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya on course to host shooting Championship

    PRIMARY MENU Kenya on course to host shooting Championship by Maxwell WasikeJuly 5, 2021 SHARE Kenya has continued with its preparations to host the upcoming Africa shooting championships in September after being given a clean bill of health to proceed with the same by International Defensive...
  6. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Milango ya kibiashara yafunguka Kenya na Tanzania baada ya kuondolewa kwa vikwazo

    Kuondolewa kwa Vikwazo 30 Kati ya 64 vya kibiashara baina ya nchi ya Tanzania na Kenya, kumechangia kufunguka kwa milango ya kibiashara katika Mpaka wa Namanga. Mkuu wa Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha, Nurudin Babu. Hata hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha, Nurudin Babu...
  7. Sam Gidori

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wajeruhiana kwa risasi wakimgombania mwanamke

    Maafisa wawili wa polisi wamejeruhiana kwa risasi usiku wa siku ya Ijumaa baada ya kutokea ugomvi juu ya mwanamke katika klabu moja eneo la Barabara ya Thika, Nairobi nchini Kenya. Ugomvi kati ya Konstebo Festus Musyoka na Konstebo Lawrence Muturi ulitokana na mwanamke aliyekuwa ameambatana na...
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Special Forces Patrol Boni Forest

    Mad respect to The Kenya Special forces who operate along Boni Forest, Mpeketoni and its Environs- Gibons Miller (TWTR)
  9. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Tundu Lissu akitoa 'central theme' ya kitabu chake na sababu za kufanyia uzinduzi wake Kenya badala ya Tanzania

    Harakati za kisiasa za Tundu A. M. Lissu sasa ziko kwenye maandishi. Kitabu chake "REMAINING IN THE SHADOWS: PARLIAMENTS AND ACCOUNTABILITY IN EAST AFRICA" kinachambua historia (history), mapungufu (weaknesses) na mazuri (strengths) ya mabunge ya nchi zote mama za Afrika Mashariki i.e Kenya...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: KEMRI watabiri wimbi la nne kuja katikati ya Julai

    Ripoti ya Taasisi ya Kenya ya Tafiti za Madawa(KEMRI) zimeonesha watakumbna na wimbi la nne la COVID19 katikati ya mwezi Julai KEMRI wamesema Nairobi na mikoa ya Mwambao itapigwa zaidi na wimbi hilo. Hadi sasa Kenya imerekodi ju la ya maambukizi 184,537 ===== Thursday, July 1 marked 471 days...
  11. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Top 25 Banks in Africa 2021. Kenya is the only country from East Africa

    The list of top 25 Banks in Africa have just been released and East Africa is only represented by Kenya. Without Kenya, East African region would not appear in most rankings in Africa. The first bank from East Africa to appear was KCB at number 20 with a market cap of $1,317M, the second bank is...
  12. Informer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Gov’t lost Ksh1.8 billion to ghost students – Auditor General

    The government lost at least Ksh1.8 billion to ghost students in secondary schools in the financial year 2019/2020, the auditor general Nancy Gathungu has revealed. According to Gathungu, the loss was as a result of erroneous computations of July and September, 2019 disbursements, inflation of...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania World Rally Championship (WRC) - SAFARI RALLY KENYA 2021

    After almost 20 years, Safari Rally Kenya returns to the World Rally Championship this weekend and the roads north of Nairobi are primed, ready, waiting and completely alien to today's rallying elite. For nearly two decades the World Rally Championship crown has been missing a gem, but this...
  14. Rwaz

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatongoza dai kitambulisho, Kenya wameonyesha njia

    Jirani yako akibuni njia nzuri si mbaya kuiga ilimradi ufikie malengo yako. Tunakubaliana watoto weng wa kike chini ya 18 wamenona, wanajipamba na wao wanatia watu majaribun kwa tamaa na haraka zao na hatimaye weng wanakutana na mkono wa sheria, kwa aibu na fedheha! Mbaya zaid tuna mabinti...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Helikopta ya Jeshi yaanguka Kenya

    Helikopta ya Jeshi la Kenya aina ya Mi 171e iliyokuwa katika shughuli za mafunzo imehusika katika ajali kwenye milima ya Ngong, Jimbo la Kajiado eneo la Bonde la Ufa. Jeshi la ulinzi la Kenya (KDF) limethibitihs ajali hiyo katika mtandao wake rasmi wa Twitter na kuongeza kuwa shughuli za uokozi...
  16. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya approves the first GMO Cassava in the world

    Kenya is the first country in the world to approve the cultivation of GMO Cassava. It is going to increase food security. Reduce diseases affecting the crop and boost farmers' income. This GMO Cassava is locally developed by KALRO. And it has no negative effects to health. In yet another big...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu ametua nchini Kenya kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu chake, je atakuja nchini? #Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on...
  18. Mutaitina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya WSR 2021 Rally

    My Kenya brothers a thread show us what's happening in Vasha
  19. M Hacker

    JamiiForums Tanzania Filamu kubwa zinatumia mandhari ya Kenya, Tanzania tunakwama wapi?

    Filamu (movie)kali hasa kitalii kwa afrika inafanyika sana kenya na nchi zingine. Kenya kupitia filamu nyingi location inakuwa kenya wanajitangaza kiutalii mfano endangered species unaona mlima Kilimanjaro ni mlima mrefu barani afrika na watalii wanajua mlima Kilimanjaro upo kenya kwasababu...
  20. Sam Gidori

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Kenya yaburuzwa mahakamani kwa kukosekana uwazi mradi wa SGR

    Asasi ya Kiraia ya Okoa Mombasa ikishirikiana na Taasisi ya Uwajibikaji wa Kijamii (TISA) wameiburuza Serikali ya Kenya mahakamani kudai kuwekwa wazi kwa mikataba ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Mombasa - Nairobi ya Standard Gauge Railway (SGR). Mashirika hayo mawili yanadai serikali iweke wazi...
Back
Top Bottom