Kwanza nchi za EA .au nchi za jangwa la Sahara ni Kama viongozi wao walizaliwa na Mama mmoja .
Ila zipo tofauti ndogo ,ndogo ambazo niliziona Tz
Wakenya wapo Mbele ya muda kwenye Upande wa teknolojia ,kuliko kenya.
Nidhamu ya muda , wakenya wanajali Sana muda , hata ukitokea msiba wanaweza...