Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.
Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.
Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na...
Rais Ebrahim Raisi amesema aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kuwajibishwa kwa nafasi yake katika mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka miwili iliyopita, au Iran italipiza kisasi
Raisi ametaka kuundwa Mahakama ya Haki ambayo Trump, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya...
Gate of All Nations also known as Gate of Xerses at Persepolis, Iran 486-465 BC
Haya mawe yamesimama bila nguzo ya chuma, utaalamu wa kuunganisha mawe namna hii haupo tena. Vifaa walivyotumia kuchocngea mawe yawe na umbo la beast. Kweli zamani kulikua na utaalamu.
SHAMBULIO LOLOTE DHIDI YA IRAN, ITAJIBIWA BILA KUSITA KWA NGUVU ZOTE
Iran imesema kwamba, italipa kisasi kwa shambulio lolote litakalofanywa na Israel dhidi ya Iran. Commander wa jeshi la Iran alisema hivyo kupitia chombo cha habari cha Iran inayohusiana na ulinzi wa nchi hiyo.
"Kama Israel...
Benny Gantz
Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran.
Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target.
Pia majuzi Iran imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa...
Mashambulizi hayo yasababisha mlipuka mkubwa!
Syria’s military said Israeli warplanes fired missiles on the port of the coastal city of Latakia early Tuesday without inflicting any human losses.
--------
Syria’s state media quoted an unnamed military official as saying that several missiles...
Iran have sealed their progression into the knockout stages, with a commanding 6-1 win over Japan in Group B of the 2021 Inter-continental Beach Soccer Cup in Dubai.
After a goalless action in the opening time-frame, Team Melli took the lead, early in the second period through Mohammad Ali...
Iran Navy foils pirate attack on Iranian oil tanker en route to Gulf of Aden
The file photo shows an Iranian oil tanker belonging to the National Iranian Tanker Company.
The Iranian naval forces have managed to thwart a pirate attack on one of the country’s oil tankers en route to the Gulf of...
Unaambiwa!
Ikiwa biashara ya viungo vya ndani vya binadamu bado ni haramu katika nchi karibia zote duniani,
Iran ndio nchi pekee duniani inayotoa vibali na ruhusa kwa watu kuuza figo zao kihalali.
Serikali huandikisha wanunuzi na wauzaji, kuwalinganisha na kuweka kiwango cha bei elekezi kwa...
Hawa jamaa walitangaza siku 60 tu za kuishambulia
Tumehesabu leo ni siku ya 50 bado siku kumi tu
Na wanasema maana walidai ndani ya siku 60 iran atakua na bomu kamili
Sasa na Iran alivyo kichaa akaongeza kurutubisha mpaka 80% huko if am not mistaken kama nimekosea percentage mnambie
Tukasema...
Israel ilikua inataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijan ambayo ni nchi jirani ni Iran
Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran
Wakati huo huo Iran imeshaonya kwamba ikiguswa tu basi Kitawaka...Iran ilipeleka boti za kivita 400 mpakani na...
Katika miaka ya hivi karibuni Syria imekuwa ikikabiliwa na vita na harakati kubwa za makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Marekani na sehemu ya ardhi ya nchi hiyo ikadhibitiwa na kukaliwa kwa mabavu na magaidi.
Hadi sasa vita hivyo vimesababisha maafa na mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi...
Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa tangu uje utawala wa Kizayuni karibu na mipaka ya nchi, Iran imezidi kuguswa na suala la usalama wa mpaka wake wa kaskazini magharibi na kwa sababu hiyo harakati za utawala huo haramu zinafuatiliwa...
The spokesman for Iran’s Foreign Ministry has once again reiterated Tehran’s resolve to engage in only results-oriented talks on ways to revive a nuclear deal it snatched with world powers in 2015, saying it is high time for the United States, which unilaterally abandoned the agreement, "to wake...
The Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) has hailed the victorious defense of the Iranian nation during Iraq’s imposed war in the 1980s as an “undeniable truth” and a guarantor of the expulsion of American forces from the region.
In a statement marking the 41st anniversary of the 8-year war...
TEHRAN (Tasnim) – The Iranian Health Ministry said on Friday that more than 49 million jabs of COVID-19 vaccines have been injected across the country.
New figures released by the Health Ministry of Iran indicate that more than 49 million doses of coronavirus vaccines have been administered in...
Speaking to the United Nations General Assembly (UNGA)’s president, Iran’s foreign minister says US perpetration of terrorism is epitomized by the assassination of Iran’s senior anti-terror commander, Lieutenant General Qassem Soleimani.
“The assassination of Martyr General Soleimani, the great...
By Syed Zafar Mehdi
President Ebrahim Raeisi's maiden address to the UN General Assembly on Tuesday evening packed a powerful punch, unlike anything seen before, reaffirming his reputation as a no-nonsense international leader and statesman who means business.
Iranian president’s speech...
Iranian customs office IRICA say the country will receive 10 million coronavirus vaccine doses manufactured in Belgium under American brands of J&J and Pfizer. Iran has mostly relied on China’s flagship Sinopharm vaccine to immunize its population against the disease.
IRICA’s Arvanaghi said on...
Taifa hilo lililoathirika zaidi ya janga la Corona Mashariki ya Kati litaweka zuio la safari zote za barabara pamoja na Lockdown ya wiki moja
Biashara na Ofisi zote ambazo sio za mahitaji muhimu zitafungwa kuanzia Jumatatu (Agosti 16) hadi Agosti 21, ikiwa ni jitihada za kukabiliana na Kirusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.