hizi

Hizi Koyke (1902 – September 1991), born Koike Hisako, was a Japanese singer based in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania TanzLII imekuwa kero sana siku hizi. Haifunguki

    tatizo ni nini? haifunguki ikifika kwenye kuhakiki you are not a bot! Kila sectors ni laana. sasa na hii imekuja kwenye laana .ya kuwa uselessness!
  2. polokwane

    JamiiForums Tanzania Serikali inekana inautamani sana ugaidi maana sio kwa kesi hizi wanazo tupiwa hawa watu wawatu ambao hawajui hata majina ya bunduki.

    Serikali imeona njia pekee ya kupambana na upinzani ni kuwapa lesi za ugaidi na uhaini nadhani wana hamu sana na ugaidi wenyewe na inaonekana wanautamani sana
  3. Red black

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Mara ooh mama yako akikwambia maneno mabaya utateseka sana kwenye hii Dunia , uongo Baba yako akivua ngua akanyoosha uume juu huku akisema kama kweli wewe ni mwanangu nimekuzaa ufe ahivi unakufa hapohapo , uongo Dada yako akikasirika akavua chupi akakupiga nayo utateseka maisha yako yote...
  4. Vien

    JamiiForums Tanzania Maisha yamebadilika sana, siku hizi mguu wa kutoka unafanana na mguu wa kubaki ndani

    Kuna ngoma ya Mulla Obo – Box One, kuna line anasema: “Mguu wa kutoka haufananishwi na wa kubaki ndani.” Kwa mazingira ya zamani, hii line ilikuwa na maana kubwa sana. Dunia ilikuwa bado haijawa interconnected kama ilivyo leo. Karibu kila kitu kilihitaji uwe physically present. Kama unataka...
  5. Teslarati

    JamiiForums Tanzania "Za kutumia tu hizi" Je hii video ina uhalisia wowote?

    Naona pesa imekua nyepesi sana, kwanza achana na ile kufuru ya katoro, njoo uone hii, unaambiwa hizo ni za kutumia tu wala sio za kufanyia mambo ya msingi. Je video hii ina uhalisia?
  6. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Mjasiriamali ana stress kwenye hatua hizi 3, uko hatua ipi?

    Biashara ikiwa inaanza kuna stress ya kupata wateja Biashara ikipata wateja wengi na mauzo mazuri kuna stress ya usimamizi(wasaidizi waaminifu, kuweka rekodi n.k) Biashara ikikuwa, au umepata pesa imezidi mahitaji ya biashara ya sasa ,Kuna stress ya kuanzisha biashara mpya Upo hatua ipi?
  7. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Meza za kioo na marble kama hizi zinatengenezwa Tanzania?

    Naomba kufahamu kama hizi meza zinatengenezwa hapa Tanzania? Na ni sehemu gani? Au wauzaji wote wananunua china?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Binafsi napenda sana watanzania tufanikiwe na huwa najisikia vibaya watanzania tunavyosota , bongo ngumu sasa nashare experience yangu nA nyie, moja fahamu mimi ni dealer wa usifirishaji wa nafaka na soko langu kubwa ni nchi hizi 1. Congo drc 2. Zambia 3. Malawi , kuna fursa nyingi huko...
  9. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Gari hizi zinauzwa bei nafuu landcruiser 55m, harrier anaconda 50m, v8 vxr lc 300 mpya bei 750m

    HIlo gari juu landcruiser inauzwa 55,000,000 TZS HIlo gari juu harrier anaconda inauzwa 50,000,000 TZS Wale wapenda chombo cha moto kipya ni landcruiser lc300 ni jipya new bei 750,000,000 TZS., Magari yote yanapatikana mkoa wa dar es salaam, wilaya ya kinondoni, kuona 30,000 TZS,,, Wasiliana...
  10. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Hatimae Dunia imeanza kuamini na kutumia hizi Data za Tume iliyoundwa na Samia, na itaenda hivo vizazi na vizazi.

    Kitu pekee Samia anapambana na ccm kwa ujumla ni kutaka uongo uwe officialized na uwe documented. Na unajua madhara ya kua documented? Madhara yake ni kua hizo taarfa ndio zitakua Rasmi kwa vizazi na vizazi na zitakutumika kama reference. leo hii Dunian taratibu inaanza kutumia Data za watu...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Chadema toa TAMKO kuhusu hizi Tume zinazoundwa kuhusiana na mauaji ya 29.10.2026

    Huu ni mtegon mkubwa. Kujalalisha uovu.. Matais wa nchi zilizoleta majaji ni birds of the same feathers fly together! Uganda haina Independent judiciary, pia Namibia! Museveni ni dikitaita namba moka Afrika. Besigye anaozeamjela kwanuonevu kama Lisu.. Eti huyo atoe jJaji kuja kuona ukweli...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Hizi project zinazo endelea Pemba zipo Kasi sana kipindi hichi?

    Nimepata safari ya kikazi kwenda Zanzibar kisiwa Cha Pemba , safari yangu ilianzia Tanga na boti ya Zanzibar 3 safari ilikua ya lisaa 1 ,nilicho jionea Pemba Ina miradi mingi sana ya serikali inatekelezwa awamu hii barabara kila mtaa kiwango Cha rami , shule za golofa , na inaenda kwa kasi...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba tuwekewe Kituo cha Daladala, kutegemea hizi zinazopita kunatuathiri na kutupa gharama kubwa

    Nikiwa mmoja kati ya Wakazi wa Goba, naomba kuwasilisha kilio chetu kuhusu changamoto kubwa ya usafiri wa umma inayotukabili sisi wakazi wa Goba na maeneo yanayotuzunguka. Kwa sasa hatuna magari ya umma ya kutosha yanayotoa huduma moja kwa moja kama daladala za uhakika. Mara nyingi tunategemea...
  14. bless on

    JamiiForums Tanzania Bill Gates: AI Haitachukua Kazi Hizi 4

    Bill Gates Asema Kazi Hizi 4 Tu Ndizo AI Itapata Ugumu Kuzichukua Kutoka Kwa Binadamu. --- Kwa miezi kadhaa, kila taarifa mpya kuhusu AI imekuwa ikivuka mstari wa kile tulichodhani hakiwezekani. Leo AI inaweza kuandika programu, kuchambua data, kuzalisha video na kufanya kazi ambazo zamani...
  15. bukoba boy

    JamiiForums Tanzania Mtu anisaidie nipate hizi office frame holder

    Nani anafahamu hizi zinapatikana wapi kwa matumizi ya ofisi,mimi niko Arusha.
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Yale tuliyopaswa kumuuliza Roho Mtakatifu, siku hizi watu wanaiuliza AI. Je huku ndio kumkufuru Roho Mtakatifu?

    Nini tofauti kati ya AI na nafasi ya Roho Mtakatifu?: 1. Asili ya Kiungu dhidi ya Mashine Roho Mtakatifu: Ni Mungu hai, mwenye hisia, mapenzi, na uwepo wa milele. Yeye ni Nafsi ya Tatu ya Utatu Mtakatifu. AI: Ni programu ya kompyuta iliyotengenezwa na binadamu. Haina uhai, haina roho, na haina...
  17. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kauli hizi, jua umekwishakufa, bado kuzikwa tu

    Habarini ndugu zangu wa thamani sana, wa jukwaa zuri za Habari na Matukio. Nimekumbuka maisha ya miaka ya nyuma mno leo, kuna journal niliwahi kusoma inayohusu maisha. Kuna kauli ukisikia watu wanasema juu yako, ni lazima ujitafakari upya.. or otherwise you're already dead. Sisemi kwa nini ila...
  18. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Kwenye Biashara ya Super Market hasa hizi Kubwa, Fruits, Vegitable na fresh food zingine ndio Cash cow yao

    Super Market huwa sehemu ya vyakula ndio Cash cow yao ya kuendeshea biashara, ndio sehemu wanayo patia pesa za kurun Duka zima. Bidhaa zingine zinazo bakia ni changamoto tu kama ilivyo mtaani. Ndio Maana Super Market kubwa wanajitahidi sana wawe na fresh food muda wote na kwa wingi sana kwa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanausalama wa Barabarani Mkata hizi tuhuma za rushwa mnazisawazishaje? Mnaonea sana madereva wa Lori

    Kituo cha Police Mkata Kitengo cha Usalama Barabarani kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi yaani rushwa pale ni halali yao kabisa ndio sehemu wameona pakupatia hela ukio-overtake pale wanakuweka mahabusu wanakutoa wanakupeleka kwenye chumba chao kuna askari. Katika hicho kituo...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hizi account hapa JF zipo ikulu na ofisi ya raisi pamoja na CCM

    Imefikia mpaka wanatumia domain ya serikali kujiunga JF.Na wengine wapo ofisi ya raisi. Kuna siku kuna mmoja hataropoka kuwa kuna mtu anatumia neno " kuna watu wanajibu mavi" basi ujuwe ni mtu maarufu hapa JF
Back
Top Bottom