dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa Dar es salaam: Tuboreshe mfumo wa usafi wa barabara – mashine zitumike badala ya kufagia kwa mikono

    Kamwene, Huu ni ushauri wa wazi na wa kujenga kuhusu suala la usafi wa barabara za Dar es Salaam, hasa katika maeneo yenye shughuli nyingi za ujenzi, biashara na makazi. Moja ya changamoto inayoonekana katika barabara nyingi za Dar es Salaam ni matumizi makubwa ya watu kufagia barabara kwa...
  2. LIKUD

    JamiiForums Tanzania New Dar Es salaam yote leo imehamia Kiwalani.. Kiwalani wameweza sana leo

    Dar el salaam mpya ( New Dar Es Salaam) yote Leo imehamia Kiwalani kuanzia saa kumi hadi saa kumi na mbili. Kama hukuwa Kiwalani Leo mida hiyo I have very little to tell you. U were supposed to be there.. # Kiwaside Halla. #Mascombisco. New Dar Es salaam = Back City ( Mbagala), Chanika...
  3. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Inapotajwa Mwanza, Dodoma, Dar es salaam, Arusha, Tanga, Mbeya nk Zanzibar hakuna jiji?

    Ni ubaguzi ulioje.
  4. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Mbezi, Dar es salaam. Natafuta kibarua

    Mimi ni kijana wa kiume naishi Mbezi, magari saba. Natafuta kazi yoyote halali inayofundishika.
  5. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Unahitaji mitambo? Heavy Industrial equipment in Agriculture, Construction, Mining and Industries. Karibu tuwasiliane 0754247000. Ubungo Dar es salaam

    Habari ya wakati huu. Mwenye mahitaji mashine ya kununua, spea parts, na service za mashine hizi chini, karibu tuwasiliane zaidi. 1. Tractor (35hp, 50-60hp, 75hp) na Power tiller 15.5hp 2. Forklifts ( 3.5T, 5T & 7-10T) 3. Generators ( 17kva - 550kva ) 4. Wheel loaders ( 3T & 5T) 5...
  6. Kitomai

    JamiiForums Tanzania 3 Bedrooms apartments for sale - Upanga, Dar es Salaam

    🏠 Nyumba za vyumba 3 vya kulala zinauzwa UPANGA! 📍 LOCATION: UPANGA, Dar es Salaam - Karibu na kila kitu! 💰 BEI: Kuanzia Milioni 540 TZS HUDUMA ZILIZOPO: ✔️ Self-contained rooms ✔️ Fully fitted wardrobes & Kitchen ✔️ Ample parking space ✔️ Secure location na CCTV 24/7 ✔️ Standby generators -...
  7. mimi mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Nimevutiwa sana na story ya Gautama Buddha na nimeamua kutaka kujifunza kuhusu Buddhism kwa lengo la kujiunga na kufuata mafundisho yake. Kwa sasa sioni Ukristo wala dini yangu ya asili ikinipa matokeo ninayoyatafuta zaidi ya matumaini, hivyo nimeamua kutafuta njia nyingine ya kiroho...
  8. R

    JamiiForums Tanzania "Mshindi ni Nani" Kipindi cha zamani Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD)

    Wahenga, miaka ya zamani nikiwa kama msikilizaji nguli wa RTD kuna kipindi nilikuwa nakipenda sana kiliitwa Mshindi ni Nani. Wakati kile kipindi kinaanza, kulikuwa na biti moja kali sana halafu unasikia kama mtu anapiga yowe "uuuuuwih...yau...yauyau" halafu ndo inakuja sauti ya kike kwa madaha...
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Nilikuwa naona kama watu wa bandari walafi tu wa eneo. Ila ukilinganisha na bandari zingine, bandari ya Dar ina eneo dogo sana. Bandari kubwa(kwa mizigo) zaidi Afrika ni ya Tangier, Morocco. Ina eneo la ardhi la ekari 2,500. Bandari ya Mombasa, Kenya ina jumla ya eneo la ekari 3,000. Ban mydari...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nauza na kusambaza mbao za ujenzi na fenicha kwa bei ya jumla ndani ya Dar es Salaam na Pwani.

    BEI ZA MBAO 2*2: 2,200/= 2*3: 3,500/= 2*4: 5,000/= 2*6: 7,000/= 1*4: 2,200/= 1*6: 4,200/= 1*10: 13,000/= TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM, BUGURUNI,MTAA WA MADENGE ,KARIBU NA MSIKITI WA ALBANI. MAWASILIANO 0748874928 (PIGA/SMS/WHATSAPP)
  11. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya uchomaji taka (kusoma matakataka) kwenye makazi ya watu hapa Dar es Salaam

    Wakuu, habari za mchana huu. Kuna changamoto naona inazidi kushamiri kwenye mitaa yetu mingi hapa Dar es Salaam, nayo ni tabia ya baadhi ya watu kuchoma moto taka katikati ya makazi ya watu. Lugha ya mtaani wengi wanasema "kusoma matakataka." Kimsingi, jambo hili limekuwa likisababisha moshi...
  12. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania KERO Foleni ya magari Mwenge, Dar yaendelea kuwa kero kwa wananchi

    Barabara ya Mwenge, ambayo ni miongoni mwa makutano makuu na muhimu zaidi jijini Dar es Salaam, inaendelea kushuhudia msongamano mkubwa wa magari, hasa wakati wa asubuhi na jioni. Eneo hili linalounganisha Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Bagamoyo, na Sam Nujoma ni kiungo muhimu sana cha usafiri...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nauli ya Dar es salaam mpaka Dutumi (Morogoro vijijini) kupitia Ngerengere ni TZS 20,000 Licha ya kuwa ni Kilometa zisizozidi 90. LATRA mpo wapi?

    Inakuwaje nauli kuwa kubwa kuliko umbali halisi wa safari? Je, nauli hii imepitishwa na LATRA kweli? Kama imepitishwa, ni vigezo gani vilivyotumika kuamua kiwango hiki cha nauli, na inalingana na viwango rasmi vilivyowekwa? Wananchi wanastahili kupata maelezo ya wazi kuhusu namna nauli...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania UPANUZI NA UBORESHAJI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM MAMBO YAZIDI KUNOGA

    UPANUZI NA UBORESHAJI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM MAMBO YAZIDI KUNOGA UJENZI WA MATENKI YA KUPOKEA NA KUHIFADHI MAFUTA WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 52. Mradi huu Utagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 678 za Kitanzania. Matenki haya yatafanya jumla ya Ukubwa wa Cubic Meter 389000 sawa na Lita...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Turahisishe maisha: Stendi ya Magufuli isiwe mwisho wa ubunifu wa usafiri Dar es salaam

    TURAHISISHE MAISHA: STENDI YA MAGUFULI ISIWE MWISHO WA UBUNIFU WA USAFIRI DAR ES SALAAM Na GULATONE MASIGA Uamuzi wa Serikali wa kuimarisha matumizi ya Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi kwa shughuli za kupakia na kushusha abiria ni sehemu ya juhudi za kupanga upya mfumo wa usafiri...
  16. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Nawauliza tena watu wa Dar es salaam hivi kweli Sheta ni meya wa Jiji la Ilala aka Dar es salaam?

    Naomba majibu tafadhali na mtuambie watu wa mikoani imekuwaje kuwaje mpaka kumpa nafasi kubwa namna hiyo mpaka Rais analalamika mji wenu ni mchafu mpaka aibu.
  17. R

    JamiiForums Tanzania Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekemea hali ya uchafu uliokithiri katika miji, hususan jiji la Dar es Salaam. Akizungumza Septemba 2, 2026, katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Rais Samia ameeleza kuwa...
  18. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Unatafuta Warehouse Dar Es Salaam?

    Need a secure, spacious, and strategically located warehouse for your business? Kitomai Properties connects you with warehouses for rent and sale across: Ubungo | Chang’ombe | Mikocheni | Nyerere Road | Mbagala | Kigamboni & More Perfect for: Storage Logistics Distribution Manufacturing...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka tangu tulipe fedha ya bima mwaka 2023 hadi mwaka huu tunamaliza hatujapata bima

    Mimi ni mhitimu wa Diploma katika chuo cha Ukutubi na Uhifadhi nyaraka School of Library and Documentation Studies (SLADS) kilichopo Dar es Salaam, chini ya Maktaba ya Taifa. Tangu tulipoanza masomo ya Certificate mwaka 2023, tulilipa fedha kwa ajili ya bima ya afya, lakini hadi leo...
  20. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata Mbolea ya Ng’ombe ya Kutosha Dar es Salaam?

    Nina shida ya Mbolea ya Kutosha , mwenye nayo tufanye biashara
Back
Top Bottom