Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Dr. Rusa, mchambuzi wa kisiasa nchini Rwanda, alipoulizwa maoni yake kuhusu maeneo ya Uganda na DRC kuwa maeneo ya Rwanda, miaka ya 1880 kabla ya kukatwa kwa mipaka ya sasa, mwaka 1885; alisema...
1 Reactions
2 Replies
292 Views
Mwanamke halisi hujulikana katika nyakati za umasikini wa mume wake, ama akiwa hajazipata pesa au akiwa kafilisika au kupoteza madaraka. Hapa utaijua sura halisi ya mwanamke wako. Sura na tabia...
1 Reactions
2 Replies
312 Views
Kama kuna kitu kigumu maishani, ni kumiliki nyumba nchini Rwanda. Kuanzia ardhi, mpaka vibali, ni mtihani. Jambo hili husababisha walio wengi wajenge tu kutokana na uwezo wao. Mbaya zaidi, kila...
1 Reactions
7 Replies
483 Views
Pale unapoamka na kukuta wajomba wamechukua wanachokitaka. Hasa kama una Flat TV, ujue hiyo si mali yako, watunzie wenyewe siku wakihitaji wataijia. Uzuri ukitoa taarifa mapema na ukawa na...
0 Reactions
2 Replies
377 Views
Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa kwa mwanamke aliyeolewa, adui yake wa kwanza wa maisha na uhai wa ndoa yake ni mdomo wake meenyewe. Usinyanyue mdomo wako mwanaume anapoongea haijalishi...
0 Reactions
1 Replies
282 Views
Ministry of Health have been conducting outreach programs on mental health issues, but don’t you think it’s time to move beyond the generic playbook and focus on context-specific solutions...
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Serikali ifikie hatua iwahurumie raia wake. Pichani, ni watoto wanne wa mama mmoja aliekuwa akilea mwenyewe. Baada ya zoezi la kamati ya jiji la bomoa bomoa kuanza, lilimuathiri. mama huyu...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Wanawake jamani! Sijui laana! Maana hata Shetani wanaemsingizia, nina uhakika atakuwa anawacheka tu mkitaja jina lake. Kamama hapo pichani, tayari kanaenda kutumikia kifungo cha maisha. Alikuwa...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
Pichani, ni mtambo wa kuvuta na kuchakata Gas iliyopo ziwani(Kivu), kati ya DRC na Rwanda. Gas hiyo ijulikanayo kama Methane, inajulikana kuwa ni hatari sana ikilipuka. Ziwa Kivu, lipo karibu na...
1 Reactions
2 Replies
305 Views
Baada ya Rwanda Investigation Bureau kuwasaidia watu wapatao 10, kurudi nchini wakitokea Myanmar,walikopelekwa na matapeli kwa ahadi ya kazi, uongozi wa RIB umefanya kikao na vyombo vya...
1 Reactions
3 Replies
258 Views
Kwa mjibu wa ujumbe huu, waalimu wanalazimishwa kufungua account kwenye SACCOS ya Mwalimu. Wao, hutumia Banks nyingine za kibiashara, kutokana na faida wanazozipata, ikiwemo mikopo ya kuweza...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
1. Mi nakumbuka kipindi shule imelima mahindi, baada ya kuiva, tukawa tunaingia katikati, tunaiba tunaenda kuchoma. Siku moja mida kama ya saa tano usiku, walinzi wakawakamata jama wa4...
0 Reactions
1 Replies
326 Views
Ikiwa Burundi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu, siku zisizofikia hata wiki, ndo orodha ya wagombea, chama chao na makabila yanawekwa wazi. Ikumbukwe, vyama vya upinzani, vilikataliwa kwa kinachoitwa...
0 Reactions
2 Replies
297 Views
Maswali: -Je, linazama lote hili? -Je, baada ya hapo, linaombwa hela na lenyewe?
0 Reactions
1 Replies
227 Views
Zimebaki siku chache sana kuelekea uchaguzi mkuu wa wabunge na rais nchini Burundi, ambapo ni tarehe 5 juni 2025. Mpaka sasa, kila kona ya nchi, kutokana na hali ya usalama, na hofu kutokana na...
0 Reactions
3 Replies
443 Views
Asema mtoto wake, mwenye umri wa miaka mitatu. mpaka sasa ana tatizo la viungo vya mwili, ikiwemo mifupa kutokomaa. Toka anaanza kula, amekuwa akitumia mpira. Kwa maelezo yake, ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
208 Views
Mu gihugu gituranyi cya Tanzania, Banki imwe yitwa CRDB iravugwaho kugaragaza amakuru ya konti y’umukuru wa Polisi, IGP Wambura. Ese ni banki koko, ni abayinjiriye, iwacu byagenda bite!?
0 Reactions
1 Replies
235 Views
Mwamba akabiliwa na shitaka la kumnyanyasa mkewe kijinsia, kwa kilichotasiliwa kama mumpiga na kumuumiza mkewe kisa kunyimwa haki yake ya ndoa. Baada ya kukaa ndani kwa muda wa wiki mbili sasa...
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Bado tu mamia na mamia ya malori yanaendelea kusomba vitu kutoka Goma. Inaonekana SADC,hasa Afrika kusini walijiandaa vya kutosha,bahati mbaya ndo hivo, safari ya fedheha ndo kama hii. Shelia za...
0 Reactions
1 Replies
220 Views
Back
Top Bottom