Rwandair yapata dili jipya

Rwandair yapata dili jipya

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
592
Reaction score
781
Kampuni ya usafilishaji wa anga ya Rwandair, yapata nchi mpya 12 ambazo itakuwa inafanya safari zake.

Ni baada ya kutangaza kufuta baadhi ya safari,kutokana na kufungiwa anga na jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

Badhi ya nchi hizo ni Eswatini, Guinée, Liberia, Malawi, Mali, Zimbabwe, France, Georgia, Pologne, Oman, Suriname na Canada.
 
Back
Top Bottom