Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Ubungo
Profesa Kitila Mkumbo (CCM) - Kura 63,221
Boniface Jacob (CHADEMA) - kura 20,620
Kibamba...