tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. J

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Kichina (Yutong) hayafai kutumika kwenye barabara za Tanzania

    Husika na mada hapo juu wanaJamiiForums. Huu mwezi nimesifiri na hizi basi ABC upper class ni Yutong na kisbo ina chata ya Higer nimeona utofauti Yutong hazina utulivu barabarani. Barabara zetu zenye mashimo na vilaka ambavyo haviwekwi kwa ulinganifu hizi basi zinateseka yaani unakuta gari...
  2. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan leasing firm wins gold mining tender in Tanzania

    Regional leasing firm, Vehicle and Equipment Leasing Limited (VAELL), will be supplying mining equipment to the second largest mine in Tanzania. Machinery worth $20 million (Sh2.2 billion) have been ordered and about $10 million (Sh1.1 billion) has already been delivered. In the arrangement...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Umeme wa Maji Tanzania ni 36.64% tu ya umeme wote

    Watanzania ni wagumu sana kufuatilia data hata zile ambazo ziko wazi. Kuna Watanzania wengi wanaamini umeme wetu mwingi ni wa maji! hii sio kweli . Ukienda kwenye mtandao wa Tanesco umeme wa maji ni 36.64% tu. Hivyo hata maji yakipungua kwa 50% nzima umeme kwa ujumla wake unatakiwa kupungua...
  4. JamiiForums Tanzania Akina nani wakumbukwe?

    Naleta uzi huu baada ya kuona mwelekeo wa kuvipa majina kiholela vitu muhimu, mali ya Watanzania wote. Aghalabu majina ya wanasiasa ndiyo tu yanayotumika. Tena wanasiasa wawili au watatu tu. Aidha, mtoaji wa jina huwa hakushauriana na yeyote, licha ya kuwa hana utaalamu mkubwa katika historia ya...
  5. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) George Kinoti ahukumiwa miezi minne jela kwa kudharau amri ya Mahakama

    Taarifa Kutoka Kenya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kinoti ahukumiwa kwenda jela kwa muda wa minne kwa kudharau Amri ya Jaji Antony Mrima Atatumikia kifungo chake kwenye gereza lenye Ulinzi mkali la Kamiti ----- Directorate of Criminal Investigations (DCI) boss George Kinoti has been...
  6. JamiiForums Tanzania How to check form one selection online In Tanzania & Kenya

    In Tanzania students who complete their primary school (standard seven) and perform well in their PSLC NECTA exams are normally selected by TAMISEMI to join various secondary schools located in every ward all over the country to pursue their O-level education for four years. Whereas in Kenya...
  7. JamiiForums Tanzania Youth Empowerment Officers at SOS Children’s Villages Tanzania

    Overview SOS Children's Villages Tanzania is a local non-government organization affiliated to Sos Children's Villages International, a worldwide child care organization that provides orphaned and destitute children with a permanent home and educational opportunities. Established 60 years ago...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mashambulio ya Magaidi nchini Uganda, Tanzania tuna la kujifunza

    Salaam wanajamvi, Kutokana na mashambulio mfululizo ya magaidi nchi jirani ya Uganda kwa Museven, Tanzania tuna jambo la kujifunza kama nchi upande wa usalama, naishauri serikali kupitia vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama kuongeza intelijensia yao na kuhakikisha vitendo hvo havitokei...
  9. JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

    Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja. Mwenyewe...
  10. JamiiForums Tanzania Mtu anayemchukia Hayati Magufuli anafaa kuwa Waziri Tanzania?

    Sitegemei unafiki iwe jadi iliyokomaa kiasi cha namna hii nchini Tanzania. Alivyoapishwa Samia Suluhu kwa kujua mapenzi na imani kubwa waliyokua nayo watanzania kwa Magufuli alisema baada ya kuapa kua rais wa tanzania kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Na amerudia kusema hivyo mara kadhaa...
  11. JamiiForums Tanzania Ilikuwaje watu wakaamini kwamba Tanzania inaweza kuendelea bila kushirikiana na dunia?

    Huwa nawaza sana tulifikaje hapa tulipo leo, Hivi ilikuwaje taifa lenye wasomi wazuri kabisa likaamua kufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo hata Waroma wa kale walioishi miaka 2000 iliyopita wasingeyafanya. Hivi katika maksudi kabisa, taasisi nyeti za Tanzania ziliamini kabisa kwamba wao...
  12. JamiiForums Tanzania Youth Empowerment Officers at SOS Children's Villages Tanzania

    Overview SOS Children's Villages Tanzania is a local non-government organization affiliated to Sos Children's Villages International, a worldwide child care organization that provides orphaned and destitute children with a permanent home and educational opportunities. Established 60 years ago...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini wapinzani Tanzania wanatamani kufanya siasa kwenye mazingira laini bila kuyalainisha!?

    Mapambano ya kisiasa hayajawahi kuwa rahisi mahali popote duniani na hii ni kutokana na ukweli kwamba inakupa madaraka makubwa sana kwa njia nyepesi tu yaani kushawishi watu wakuunge mkono. Ni kutokana na ukweli huo ndio maana ni kazi ngumu sana kumtoa madarakani anayetawala hivi sasa, kuliko...
  14. JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania kuna mgao wa umeme?

    Tunajua kwamba DAWASA wametangaza kwamba kuna mgao wa maji hili sina shaka nalo! Je, TANESCO wamesha tangaza kuna mgao wa umeme? Maana siku nzima ya leo umeme hakuna! Kama kuna anajua tafadhali nijulishe na pia nipatie ratiba ya mgao!! Hivi kweli miaka 60+ ya uhuru umeme na maji bado ni shida...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kweli Tanzania kutumia shilingi trilioni 1.7 kununua ndege?

    Someni hii:
  16. JamiiForums Tanzania Job Opportunities at Tanzania Railways Corporation (TRC)

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.JA.9/259/01/98 15th November, 2021 On behalf of Tanzania Railways Corporation (TRC), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 353 vacant posts as mentioned...
  17. JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli bado anawanyima usingizi wapinzani wa Tanzania

    Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika. Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini. Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kusheherekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania wakati tokea Uhuru hadi leo Taifa lina Changamoto za Kimsingi zifuatazo ni Uzuzu uliotukuka

    1. Ujinga uliochanganyika na Upumbavu. 2. Elimu mbovu na inayozalisha Mazuzu wengi na Ajira kuwa Janga la Kitaifa. 3. Umeme usio na uhakika nchini. 4. Kutopatikana Maji kwa Wananchi. 5. Ukabila, Udini na Ufisadi mkubwa. 6. Afya duni kwa Watanzania wengi. 7. Siasa mbovu na Demokrasia ya...
  19. JamiiForums Tanzania Wamasai wanatuwakilisha vyema sana hapa Tanzania

    Wakuu habari za usiku. Acha niende kwa mada leo katika pitapita zangu maeneo ya huku chini ocean road nikakutana na mmsai yuko na demu wakizungu afu sasa dizian kama dada kamwelewa mmasai. Uyo demu wa kizungu alikua mzuri balaa mpaka nikaona wivu Mmasai anaonekana mjanja alikua anamshikashika...
  20. JamiiForums Tanzania Ianzishwe Wizara ya Mafuta na Gesi ili kuchochea ukuaji wa sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania na kuipunguzia mzigo wizara ya Nishati

    Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…