Kama mnakipenda chama chenu na nchi hii sehemu pekee iliyobaki ni hapa.
Mtumieni salamu ajuwe hamjapendezwa na kitendo alichokifanya.
Huwezi kumfukuza mtu uanachama eti kwa sababu anataka tupate katiba mpya. Mkizubaa huyu bibi atawatesa sana. Kazi kwenu sasa mkubali kuwa mateka au muamue kuresist.
Nipo hapa kwa fundi viatu na-brush viatu vyangu nikasikia wadau wakipiga story kuwa, mzee wa kanda ya kati anaenda kuwa VP na yule mwana mdekaji anaenda kuwa PM.
Mimi naendelea kuwasikiliza hawa wadau wangu hapo kwa fundi viatu, nitaendelea kuwajuza
Wakuu, salaam.
Nimeisoma barua inayosemekana kuwa ya mwenyewe.
Nukuu: "Pia nilimhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji makamu mwingine wa Rais, nitaachia nafasi hii.
NIMEJIRIDHISHA PASIPO SHAKA KUWA MH. RAIS ANATAMANI MABADILIKO, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu".
Mungu awabariki.
Salaam jamiiforum.
Leo ni siku ya ijumaa tulivu,siku ya mwisho wa wiki Kwa wafanyakazi na hata wasio wafanyakazi.
Ndiyo siku maalumu wengi wanaenda sehemu mbalimbali za starehe iwe clubs,bar na kwenye makasino.
Lakini mara nyingi tunapoenda sehemu hizi kwaajili ya kufurahi mara nyingi furaha...
Kuna mgahawa ulikuwa classic sana.
Ile sehemu wanafanya renovation na pamefungwa...
Aisee nimejikuta napata hasira, maana msosi ulikuwa classic sana.
Sasa nianze tena kutafuta mahala pengine Daah!
Haya mambo ya ubachela bwana...😔
Si amini sana kula sehemu ambayo haina mazingira mazuri na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema licha ya Serikali kujenga Bandari ya Kwala bado Jiji la Dar es Salaam sehemu nyingi kumegeuzwa kuwa bandari kavu (ICDs).
"Kuna watu wanahujumu uchumi wa nchi. Kwa sababu kwa mfano, Dar es Salaam sasa hivi...
Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama alivyoelekezwa.
Hata hivyo, alipofika katika kituo hicho, aliambiwa kuwa kituo kina magari machache na hivyo...
KAMA MWANAMKE HAJAKUOMBA PESA USIJIPENDEKEZE KUMPA. KUOMBA NI SEHEMU YA KUJISHUSHA KWAKE
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Usipendi kujiongeza kwenye ujingaujinga. Mpe hizo hela mama yako au Baba yako kama yupo kama unajihisi unakiherehere. Au kama ni wale wakujipendekeza jipendekeze kwa...
Taarifa zake hizi hapa
RAMADHAN SALUM RAJABU
Anasoma NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT
Age: 20 YEAR OLD
Mwaka aliopo :SECOND YEAR
Field yake : FREIGHT CLEARING AND FORWARDING
Mawasiliano yake haya hapa
0778928217
Naomba tumsaidie Wana JF
Yupo Daressalaam.
Hii nafasi ya ku judge mikoani inaongoza sana.Ndio maana ngumu kutoboa au kufanikiwa kwa asilimia fulani.
Mikoani mtu anaweza kujionesha yeye ni nafasi gani,wewe utakuwa hivi au wakupangie hivi.
Ndio maana asilimia kubwa ya watumishi wa mikoani wamechoka sana.
Kwa wananchi wa mikoani hapo...
Ndugu zangu Watanzania,
Nenda Sehemu yoyote ile Ya Dunia hii,Nenda kila pembe ya Dunia, nenda Ulaya ,nenda Marekani,nenda Afrika ,nenda kwenye Tawala za kifalme au Kichifu Hakuna ambako utakuta Dola ikichezewa na mtu Akachekewa tu na kuachwa aendelee kuyumbisha Dola na Usalama wa Taifa.
Hata...
Kuna dini za ajabu na za hovyo sana.
Kila siku kutisha watu kuwa duniani hapa ni sehemu mbaya ovu,haifai,ni makao ya shetani.
Na kuwa wameandaliwa makao eti peponi sijui firdaus.
Ila wapo hapa duniani kila siku kutumalizia hewa na kuongeza joto la dunia si muondoke mtuachie dunia yetu...
VISABABISHI/MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.🖇️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.🖇️ Ujauzito
3.🖇️ Unywaji pombe
4.🖇️ Kukaa sana sehemu ngumu
5.🖇️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.🖇️Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia...
Umeangalia vigezo vyako kwamba ni kweli Hana mtoto ila kwenye kipengele Cha Tattoo akakuambia ujana , ulimbukeni na kuiga nawe ukakubali? NI SAWA BRO.
Kitu muhimu uelewe visivyokuwa na shaka kwake huyo.
1: Hana bikira
2:Katoa mimba shazi
3:Amelombwa na wengi mno akiwemo na mchora Tattoo.
4...
Sio uwongo yani kama wazazi na mliopo hapa jifunzeni kukabiriana na roho za hapa.
Wamewamaliza sana T.O wa tanzania wengine wakawa wanafundisha twisheni na wengine wakaishia kuchekwa na wasio soma.
Kuna dogo hapa mzazi wake aligundua mtoto wake sio level hii nchi ,kwa uwezo wake aliona bora...
Amani ya Bwana iwe nanyi!
Kuna mwanamke nilikua na appointment nae ya kwenda kusex leo, mimi kwa bajeti yangu ya elfu 30, nilipanga twende lodge flani tu hapa hapa mtaani. Mahesabu yangu yalikua ni gharama za Lodge 20k, na bia mbili mbili elfu 8, elfu 2 inayobaki ningempa nauli ya boda kurudia...
Kwa mtu anayehitaji kufanya kazi eneo kama mgodi anahitaji nini, vyeti au matibabu yapi kutokea taasisi ya OSHA na gharama zake zikoje.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.