picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mukumu Girls yaagizwa kulipa Sh300,000 kwa kushiriki picha ya mwanafunzi bila idhini

    Shule ya Sacred Heart Mukumu Girls imeagizwa kulipa Sh300,000 kama fidia baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka faragha ya mwanafunzi kwa kushiriki picha yake na wahusika wa nje bila idhini ya mzazi au mlezi. Ofisi ya Kamishna wa Ulinzi wa Data (ODPC) ilisema shule hiyo ilikiuka Sheria ya...
  2. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Uzi wa picha nzuri, story nzuri na kumbukumbu za watoto

    Wale wapenzi wa WATOTO👭👬👶 Karibu kwenye uzi wa picha za watoto na simulizi zao Kama una story yeyote kuhusu watoto share iwe nzuri au ya kusikitisha Watoto wametokana na sisi wenyewe ni damu yetu, wanakuzwa ndani yetu na wao ni sehemu yetu Watoto wana uzuri wao wa kipekee sana...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Kabla sijaenda naomba kwanza nisahihishe jambo moja muhimu: si sahihi kusema kwamba kila eneo hapa chini lina sheria ya jumla inayosema “hairuhusiwi kupiga picha.” Baadhi ni maeneo nyeti ambayo hupaswi kupiga picha bila ruhusa, na baadhi yana restrictions maalumu, hasa maeneo ya kijeshi na...
  4. Renegade

    JamiiForums Tanzania Picha ya kufikirisha: Nini kinaendelea Tanzania?

    Baada ya kuangalia hii picha ya ujio wa Rais Tshekedi nimejiuliza maswali mawili, 1.Yuko wapi Makamu wa Rais wa JMT? 2.Nini kinaendlea Tanzania nyuma ya pazia.
  5. X

    JamiiForums Tanzania Naisubiria kwa hamu El Classico ijayo tuwakande Real Madrid. Hilo pira litakalopigwa na Barça sipati picha. Rodri ndani!

    Hatimaye the long wait is over Rodri ndani ya uzi wa Barça. Barça itakuwa na kiungo kikali sana kati mkata umeme Rodri pembeni akiwepo Pedri na Dani Olmo na mtoto wa Kidachi FDJ kmmk Leo game ya Barça na Basel majanja pale mbele wamekichafua sio poa. Kwanza unakutana na Adeyemi ukipenda...
  6. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Picha: Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba.

    Jana Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba ilifana Sana. Allah Akbar.
  7. mambo_safi

    JamiiForums Tanzania Picha ya wakati Isaya Yunge akimvalisha pete binti wa Ruto

    Nataka kuona Yunge anamvalisha Charlene pete nani alipiga magoti? Au wote walikuwa kama kambale?
  8. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Picha ya leo!

    a picture is worth a thousand words ...
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hata chawa wanajua kuwa wanafanyaga kazi bure humu maana humu watu ni oil chafu ni basi tu wanatimiza majukumu kwa ajili ya ugali

    Fool me once shame on you, Fool me twice shame on me. Its 2026 bro, Hakuna alie tayari kuendelewa kudanganywa kama mtoto.
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM , Nionyesheni Picha hata ya Mwandamanaji mwenye Bunduki, aliyeua Watanzania Oktoba 29?

    Kila siku CCM wapuuzi walia liaa, ohooo Kuna watu walilipwa, ohoooo kimeenda kimerudi. Upande wa pili, Watanzania Wana picha mbalimbali za Genge la Mauaji Sasa na nyie CCM, tuonyésheni picha hata Moja tu ya Mwandamanaji akipiga Risasi watu.
  11. Jemima Mrembo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutupia picha mbalimbali na video za Rais wa Tanzania ajaye, Tundu Antipas Lissu ili kumtia moyo kwenye kupambania katiba, utu na haki

  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Ufahamu: Namna ya Kuwabaini Matapeli wanaotumia mbinu ya kupiga Picha na Viongozi

    Matapeli wengi wa kisasa hutumia mbinu ya kisaikolojia inayoitwa "Social Proof" (Kutafuta Uhuishaji wa Kijamii). Kupiga picha na kiongozi mkuu au mtu maarufu na kuipost mtandaoni huwasaidia kujenga uaminifu wa haraka (instant credibility) ili waathirika wasiwaatilie shaka wanapowaomba fedha au...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ubia si hiari, ni mkakati madhubuti wa kuikomboa nchi kiuchumi-David Kafulila

    Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira yanayowezesha maendeleo ya sekta ya lojistiki, usafirishaji na elimu ya ufundi ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo, akisisitiza kuwa sekta hizo ni nguzo...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mimi haya mambo ya CCM yananichanganya. Ona picha hii na linganisha na hotuba ya Nchimbi. Unàfanya deduction ipi

    Wako pamoja wameapisha wateule. Kwa hotuba ya Nchimbi inavyotafsiliwa na wengi kuwa hawaivi, si kweli. Hapa kuna mchezo mchafu wanacheza Samia na Nchimbi na CCM in general. Hii ni jana tarehe 27 Chadema kuweni macho na udanganyifu wa CCM
  15. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Weka picha ya Unyayo wako

    Tupiako kapicha ka unyayo wako. Mimi unyayo wangu huo hapo.
  16. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kutengeneza Picha Kuwa Video kwa Kutumia AI ya Grok Imagine

    18 Julai 2026 Teknolojia ya akili bandia imefanya kazi ya kutengeneza video kuwa rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita. Sasa hauhitaji kamera ya gharama kubwa, mwigizaji, studio au ujuzi mkubwa wa ku-edit video ili kutengeneza video fupi zinazovutia. Kwa kutumia Grok Imagine...
  17. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Picha ya dada aliyeiba mtoto Chanika sasa yawekwa wazi, atakayemuona atoe taarifa

    Unamkumbuka huyu mtoto? Aliibiwa katika hospitali ya NguvuKazi huko Chanika tarehe 06/07/2026. Mama yake alimuomba dada mmoja aliyevaa kama daktari/Muuguzi amsaidie kumshika ili aingie msalani. Alipotoka hakumuona na alipotoa taarifa kwa uongozi wa hospitali walisema hawamtambui. Baada ya...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu hii picha imebeba ujumbe mzito sana

    Ujumbe huu ni mzito sana. 👇
  19. K

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, Picha hii ya Dr. Bessigye akiwa Lukwago gerezani, imechapishwa na Muhoozi Kainerugaba?

    Je, ni upi uhalisia wa picha hii?
  20. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ni wapi wanaprinti picha kwenye mbao kwa gharama nafuu

    Ni wapi wanaprinti picha kwenye mbao kwa ghalama nafuu
Back
Top Bottom