Aisha alikuwa binti mzuri Wa uso na umbo ..Aisha alijulikana kwa ukarimu wake na upole..
Siku moja Aisha akiwa na wasichana wenzake walitekwa na kuozeshwa kwa wanaume kinguvu...
Aisha aliishi utumwani kwa tabu akifanyishwa kazi za kila namna..
Wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha...