Habarini wana jf
Ni hivi karibuni baada ya jamaa yangu kunitumia video moja, nimeisikiliza sana hiyo video, nikabaki na mshangao mkubwa, ikabidi nijiulize hivi wasomi wetu wa kiafrika wanalijua hili?
Je kama wanajua Kwanini hawachukui hatua kuziokoa jamii zao?
Wako wapi maprofesa, madaktari...