Jamani wanawake, barabarani kugumu

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,487
Reaction score
1,465
Umezaa na mtu, au ni mmeo,af unamletea nyodo kwamba anatoa hela ndogo au hakuridhishi.

Unapata mchepuko,anaekuridhisha, na hela ndogo hiyounayopewa na uliezaa nae,hakupi mchepuko.

Mwenye kukupa hela,akistukia una mchepuko,anakuacha,na kile kidogo hukipati tena.

Mchepuko nae akishajua umeachwa, anajua mzigo wa shida analetewa yeye, na anakula kona mapemaaa. Mme au mzazi mwenza umekosa, mchepuko umekosa,unaanza kuwaza kurudi mkoani na mtoto.

Shauri zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…