MKUTANO MKUU ULIKUWA HALALI KIKATIBA
Mkutano mkuu Halali ni lazima uitishwe na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, ni lazima Akidi itimie ya wajumbe halali zaidi ya nusu kuhudhuria lakini taratibu zote kufuatwa.
Mkutano ule wa January 18 na 19 January uliompitisha Rais Samia kuwa mgombea...